Recent content by Fidakasa

  1. Fidakasa

    JamiiForums Tanzania Natafuta crate za Soda Pepsi na Coke

    Natafuta crate tupu za Soda kampuni ya Pepsi na Koka
  2. Fidakasa

    JamiiForums Tanzania Kwanini flyover Ubungo haimalizi tatizo la foleni?

    Tumetumia gharama kubwa bure pale ubungo, toka walivyoondoa mataa wakaweka round-about foleni ilisha isha amini usiamini. Ni km pale Moro foleni historia.
  3. Fidakasa

    JamiiForums Tanzania TANROAD Dar mtalipa uhai wa Watu na magari kwa uzembe huu? Au Rushwa imewatoboa macho hamuoni?

    Kuna jambo linatakuwa kufanyika katika kila taasisi ya serikali kuwe na indepent part ya kusikiliza malalamiko ya watu. Sio mlalamikiwa ndio msikilizaji hapa haitakua sawa.
  4. Fidakasa

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Kwa anayehitaji MBAO (ndefu na fupi, za dawa na kawaida, ngumu na laini), MILUNDA(Mirefu & mifupi) MABATI, NONDO, CEMENT, KOKOTO,GYPSUM BOARD, MARINE BOARD n.k kwa maeneo ya DSM na Pwani tuwasiliane. Tunahuduma ya kuleta mzigo hadi mlangoni Karibuni sana.Tupo Buguruni Dsm na Mlandizi Pwani For...
  5. Fidakasa

    JamiiForums Tanzania RITA Temeke boresheni utaratibu wenu

    Shida kubwa Ofisi za RITA Temeke. Tunaomba wahusika wasikilize adha wanazozipata wananchi kupata huduma ofisi hizi. Hakuna utaratibu wa huduma kwa watu. Watu ni wengi sana kulinganisha na watoa huduma. Mbaya zaidi kuna kina mama wanakuja na watoto na kukaa muda mrefu bila huduma au kuahirishiwa...
  6. Fidakasa

    JamiiForums Tanzania Alichokifanya mzungu wa Airbus hakiwezekani kufanywa na mbongo

    Watakuja wakujibu, naona hii nayo yako ni mpya kabisa!
  7. Fidakasa

    JamiiForums Tanzania Huwa unafanyaje kurudisha uhusiano mzuri na baba yako, kipindi nguvu ya chuki inapokuwa kubwa zaidi?

    Aisee una moyo mgumu sana, umepoteza pesa nyingi sana kwa baba yako aisee. Angalau ungezitumia kuwaendeleza wadogo zako na familia yako ungekua mbali sana. Kaa mbali na huyo mzee, muache avune kile anachokipanda, keshaingiliwa na roho mbaya na mwisho atawaua ninyi. Unaweza ukiwa vzr mtumia mama...
  8. Fidakasa

    JamiiForums Tanzania Tanzania Nchi Ya Ajabu Ajabu Tu, Kodi Ya Gari Unalonunua Japan Au Kwingine Iko juu Kuliko Bei ya Gari Lenyewe.

    Walioenda kuongea na JP actually wanajiweza wako kwenye level nyingine sio za kulialia km wengine! Naungana na wengine ukisema wanaavoid scraper si kweli sbb unapoagiza gr hata km la mwaka 2000 ukilinganisha na yaliyopo only if yametembea Tz hilo ni JIPYA SANA. Barabara zetu ni majanga magari...
  9. Fidakasa

    JamiiForums Tanzania Hivi lipo wapi jopo la viongozi wetu wastaafu?

    Tujikumbushe kidogo Cjui ni siasa kipindi kile cha primary, civics secondary, Gs n.k Tulisoma kuwa kuna MIHIMILI MITATU, Serikali, Bunge na Mahakama ambayo haiingiliani, na iko hivyo siku zote. Huyu spkr anaposema kajumuisha serikali ni kutaka kuupa mgogoro nguvu mpya lakini kiukweli sivyo...
  10. Fidakasa

    JamiiForums Tanzania Mbao, milunda, banzi, bati, misumari.

    Suluhisho la ujenzi linapatikana hapa, jenga kwa bei nafuu kabisa, mzigo unaletewa hadi site kwa bei ileile kwa wateja waliopo Dsm na Pwani. Mikoa mingine tunasupply in bulk. Karibu ujenge kwa furaha! Call &Whatsup 0752401379
  11. Fidakasa

    JamiiForums Tanzania Je, gharama za kuweka nguzo zimepungua?

    Not sure ngoja tuwasikilize wadau wengine. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Fidakasa

    JamiiForums Tanzania Kuna haja ya kuboresha kitabu cha 'wageni' gesti

    Mm naona utumike utaratibu wa kujaza fomu na wahudumu wawe na database kwenye computer na sio kulist kwenye book kuuubwa ambapo ukifunua tu kurasa unaona nani kesha ingia na details zake. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Fidakasa

    JamiiForums Tanzania Pamoja na ' Kujishebedua ' Kwetu kuwa Uchumi wa Tanzania unakuwa / umekuwa kwanini katika ' Utafiti ' huu tumekosekana?

    Haya na wale msiomuelewa Gent..angalieni WB wanavyosema Gazetini Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Fidakasa

    JamiiForums Tanzania Pamoja na ' Kujishebedua ' Kwetu kuwa Uchumi wa Tanzania unakuwa / umekuwa kwanini katika ' Utafiti ' huu tumekosekana?

    Genta... Hongera kuwa na msimamo thabit, si uongo kuwa uko juu sana, nimesoma thread zako nyingi sana kiukweli zina mashiko. Cha msingi hapo jua tu kwamba hata uwe mzuri vp,wapo tu wapinzani ambao kazi yao ni kupinga, jambo jema kabisa ni kuwa ignore. Hapa naona vinginevyo inakua km kichaa...
  15. Fidakasa

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Nguo za Mtumba: Ushauri na Muongozo wa Kuifanya kwa Mafanikio

    Wafuate wenye maduka ya Nguo waliofanikiwa wakumegee maujuzi.
Back
Top Bottom