Kamtwanje H
Member
- Oct 16, 2010
- 15
- 12
Kwa namna mambo yanavyoendelea hususani kweli hili suala la CAG na SPIKA nimekuwa nikijiuliza sana hivi wazee wetu wastaafu ambao mara nyingi wamekuwa wakishauri sana kwenye nyakati ngumu za uongozi wa nchi yetu hili jambo ni kwamba wameliona la kawaida au wanaacha ili waone mwisho wake?.
Kwanini wasiziite hizi pande mbili wakaondoa hii aibu ambayo taifa inalipata kwa malumbano yasiyo na tija?
Watu badala ya kukaa na kubishana namna ya kutatua shida za wananchi wanakaa kuzozana kwa nn unaniita hivi na huyu nitaendelea kuita kama viongozi mnaleta taswira gani kwa nchi yetu?
Mbona hii nchi ilishajijengea hekima na busara na kwa muda mrefu viongozi waliepuka misuguano isiyo na tija?.
Au wazee mna shida gani aswa inayowaweka kimya kiasi hiko mpaka mnaacha vijana wenu wakipoteza dira ya uongozi wa nchi yetu?.
MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI AFRIKA.
Kwanini wasiziite hizi pande mbili wakaondoa hii aibu ambayo taifa inalipata kwa malumbano yasiyo na tija?
Watu badala ya kukaa na kubishana namna ya kutatua shida za wananchi wanakaa kuzozana kwa nn unaniita hivi na huyu nitaendelea kuita kama viongozi mnaleta taswira gani kwa nchi yetu?
Mbona hii nchi ilishajijengea hekima na busara na kwa muda mrefu viongozi waliepuka misuguano isiyo na tija?.
Au wazee mna shida gani aswa inayowaweka kimya kiasi hiko mpaka mnaacha vijana wenu wakipoteza dira ya uongozi wa nchi yetu?.
MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI AFRIKA.