Utakasirika kwa mangapi mkuu? leo nyama imengua kesho luku keshokutwa sijui itakua nini....Tumakosa kama huto ni twakuvumilia tuu.
NB; kama huwezi kuishi na mtu ishi mwenyewe kuepuka gadhabu kama hizo
Baadhi ya wanawake wapo hivo (vichwa panzi), lakini mwanamke mwenye aliki timamu na anaejua nini anafanya hua anapambania kombe lake hadi mwisho wa ligi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.