Ubachela raha sana

Ubachela raha sana

Kupanga ni kuchagua.

by "Julius K. Nyerere"
Fikirieni baba zenu wangekuwa na muundo huo wa maisha wa kutokuwa na mke. Mngeishia bafuni kama shahawa.Wakati mwingine ni bora mtu ukae kimya kuficha ujinga.
 
Fikirieni baba zenu wangekuwa na muundo huo wa maisha wa kutokuwa na mke. Mngeishia bafuni kama shahawa.Wakati mwingine ni bora mtu ukae kimya kuficha ujinga.
Acha kutuchafulia hali ya hewa humu
 
Hapoo kwenye kupikaa....naeza enda gengeni kununua mazaga....kufika home najikuta nimesahau nunua vitunguu..narudi tenaa gengeni....mara salt imeishaa ata sijuiii......hatari tupu

Mhm we Ke au Me?
 
Wakuu najua mko poa,

Ubachela raha sana,ila usiniinge kabisa.


Kwanza hakuna kubanwa kama ambao wako kwenye ndoa

Unafanya mambo yako kwa kujiamini sana

Upangiwi cha kufanya

Unarudi kwako mda unaotaka

Unaishi kwa furaha sana

Unajipenda sana

Mabachela mkuje hapa tupeana stori mbili tatu
Mkuu we si ndo yule doctor anaye miliki vx, na ulikua na familia yako , msalimie yule mama aliye kupa milioni 150
 
Ndoa za sasa ni kero tu hasa Wanawake wasikuhizi hawajui kitu wanaigiza wakati wauchumba mkiingia kwenye ndoa tu mdomo wa mwanamke unaanza kuchongoka km kibanio,nyumba ni kelele sebuleni mpk chumbani, SHIDA TUPU.

Mume mstaafu.
 
raha sana kuwa bachelor af single , Mambo yako unayaendesha kwa umakini sana bila wenge lolote.
 
Ukiwa na mawazo kama ya mtoa mada jiweke kwenye kundi la watoto au wale ambao hawajakomaa kiakili.
 
Ubachelor raha...Naweza nikaemea mazaga gengeni...afu nikalala kwa kunywa maji tu...bila hata kupika
 
Inategemea na umri gani yupo ndio maana anasema ubachela raha
Ila ndoa ndoano kuishi na hawa viumbe yataka moyo
Kuishi na binadamu yoyote yataka moyo mkuu, haijalishi me/ke. Kikubwa we ishi maisha yako wewe kama wewe, duniani tunapita tu
 
Kuishi na binadamu yoyote yataka moyo mkuu, haijalishi me/ke. Kikubwa we ishi maisha yako wewe kama wewe, duniani tunapita tu
Mabachela wengi kiukweli tuna raha kama na pesa ipo yani tunadunda sana ila linapokuja swala la kuweka mtoto wa watu ndani tunaangalia sana mambo mengi ndio maana wengi wanaisha kusema ubachela raha
 
Mabachela wengi kiukweli tuna raha kama na pesa ipo yani tunadunda sana ila linapokuja swala la kuweka mtoto wa watu ndani tunaangalia sana mambo mengi ndio maana wengi wanaisha kusema ubachela raha
Ni raha kwa sababu hujapata tulizo wewe siku ukipata utatamani weekend ianze jumatatu
 
Back
Top Bottom