Ubachela raha sana

Ubachela raha sana

Wakuu najua mko poa,

Ubachela raha sana,ila usiniinge kabisa.


Kwanza hakuna kubanwa kama ambao wako kwenye ndoa

Unafanya mambo yako kwa kujiamini sana

Upangiwi cha kufanya

Unarudi kwako mda unaotaka

Unaishi kwa furaha sana

Unajipenda sana

Mabachela mkuje hapa tupeana stori mbili tatu
KUna age limit... Bachela wa 55 years (namaanisha ambaye hakuwahi kuoa au kuolewa) usije ukadhani ana raha ile ile kama bachela wa 25 years..!!! Ukishamaliza kuruka ruka ndo utajuwa ubaya wa ubachela..

Kuna vitu ukivifanya ukiwa bachela mwenye 25 years utaonekana upo sawa, lakini ukifanya yale yale ukiwa bachela mwenye 55 years HADI WEWE MWENYE UTAJISTUKIA...
 
KUna age limit... Bachela wa 55 years (namaanisha ambaye hakuwahi kuoa au kuolewa) usije ukadhani ana raha ile ile kama bachela wa 25 years..!!! Ukishamaliza kuruka ruka ndo utajuwa ubaya wa ubachela..

Kuna vitu ukivifanya ukiwa bachela mwenye 25 years utaonekana upo sawa, lakini ukifanya yale yale ukiwa bachela mwenye 55 years HADI WEWE MWENYE UTAJISTUKIA...
That's point bro ila ikifika muda unasaka dundo la kumalizia nalo maishaaa

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom