Recent content by fesi

  1. F

    Wind turbine energy

    Nipe number kiongozi nahitaji sana hii kitu
  2. F

    Gwajima amkana Lowassa: Apinga kuwahi kuunga mkono Mwanasiasa yeyote

    Mkuu mbona kila post unajibu wewe tu Mmawia? Maskini kumbe wewe na familia yako ndo 25million ya wa TZ mnao mwamini mzee wa deals! Ama kweli mmeumbuka! Na bado subirini atumbuliwe majipu maana anayo kadhaa
  3. F

    Hongera dr.ndalichako lakini una kazi kubwa mbele yako

    By Malisa GJ, Katika ndoto niliyokuwa nikiota itimie ni ya Dr.Joyce Ndalichako kuwa Waziri wa Elimu. It waz ma long time ambition japo sikujua ndoto hii itatimiaje maana Ndalichako si Mwanasiasa. Hawezi kugombea Ubunge ili ateuliwe Waziri. Kwahiyo Nalichako kuwa Waziri ilikua ni "muujiza"...
  4. F

    Gwajima amkana Lowassa: Apinga kuwahi kuunga mkono Mwanasiasa yeyote

    Basi ni mhimu watu mkapime akili maana si bure. Huyu mtu anaonekana yuko ki maslahi zaidi. Anyway kila mtu yuko huru jiamini apendacho
  5. F

    Gwajima amkana Lowassa: Apinga kuwahi kuunga mkono Mwanasiasa yeyote

    Hizi dini zingine hizi! Hivi bado kuna waumini wanamwamini tena huyu jamaa?
  6. F

    Wind turbine energy

    Naipataje hii? Mwenye contact na supplier please ani pm
  7. F

    Kashfa ya makontena yamuibua Ridhiwan Kikwete!

    Majina ya mfukoni halikuwapo la Dr. Magufuli. Na wala Magufuli hakuwa chaguo la mkwere. Waache kujikosha hapa
  8. F

    Kashfa ya makontena yamuibua Ridhiwan Kikwete!

    They messed us up during their tenure. Ufidadi na kufanya mambo kwa kujuana ndo vinawaponza. Mzee alikumbatia sana mafisadi
  9. F

    Adam Malima - Kiongozi kijana aliyetoweka akiwa bado anahitajika

    This guy is simply useless. Anapenda sifa na haambiliki anajiona yeye pekee ndo anaweza kila kitu
  10. F

    Kashfa ya makontena yamuibua Ridhiwan Kikwete!

    All in all uongozi wa mzee JK umeiingiza nchi pabaya. Amewachekea wezi na wakwepa kodi. watu wame fanya watakavyo na yeye anaangalia tu. Kwakweli hiyo tu inatosha kuwaona wao pia waliiba. Wametutesa sana hawa jamaa
  11. F

    Bodi ya MCC yainyima Tanzania fedha za msaada

    Rais wetu JP Magufuli ameshaanza kutekeleza ahadi kwa oesa za ndani sasa sijui unasemaje kuhusu hilo! We endeleza fikra zako tegemezi. Suala la Zanzibar linashughulikiwa kwa taratibu na sheria siyo kwa kuzima moto. #hapa kazi tu.
  12. F

    Bodi ya MCC yainyima Tanzania fedha za msaada

    Mkuu Hebu jikwamue kimawazo na fikra tegemezi. Inawezekana kabisa kujitegemea. Tuna kila lasirimali za kujikwamua kutoka tulipo. Kutembeza bakuli siyo deal! Tufa ye kazi tutende haki, tufanye kazi ki halali nothing is impossible
  13. F

    Bodi ya MCC yainyima Tanzania fedha za msaada

    Ni kweli wametuingiza mikataba ya kishenzi sana. Ona mikataba ya Richmond jamaa wamepiga hela afu leo wanajinasibu kwamba ni wasafi wanagombea hadi urais eti kisa demokrasia inawaruhusu wafanye hayo. Democracy my foot. Rais wetu JPM we piga kazi tuko nyuma yako. Nchi itajiendesha kwa mapato yetu...
  14. F

    Bodi ya MCC yainyima Tanzania fedha za msaada

    Mtu mwenye akili timamu huwezi kuilinganisha nchi yetu na Burundi. The situations are totally different. Ubakwaji gani wa demokrasia umefanywa? Nyie ndo vibaraka wa nchi za magharini. Km unaijua demokrasia kamuulize JOHN Kerry alipogombea huko huko ilikotoka hiyo demokrasi!!
Back
Top Bottom