Recent content by Ferruccio Lamborghini

  1. Ferruccio Lamborghini

    Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amesema Urusi inatumia silaha dhaifu katika vita

    Hahaha upo sahihi mzee, hata mimi niliwaza hivyohivyo.
  2. Ferruccio Lamborghini

    Picha: Watoto wetu wanazoeshwa ushoga kupitia cartoon

    Upinde mzee, tangu wakati wa Nuhu huko:D
  3. Ferruccio Lamborghini

    Kichekesho, Retaarh

    🤣🤣🤣
  4. Ferruccio Lamborghini

    Rais Samia amechagua njia sahihi kushusha bei mafuta

    RAIS Samia Suluhu Hassan, ameamua kulikabili sakata la mgogoro wa mafuta kwa kutoa maelekezo ya kujibana katika matumizi ya ndani ya Serikali. Kwa nini hii ndio njia sahihi? Nitaeleza; Wapo waliopendekeza kuondoa tozo mbalimbali kwenye mafuta ili bei ipungue. Ni mawazo lakini msaada wake upo...
  5. Ferruccio Lamborghini

    Kwa hili Rais anastahili pongezi

    NILIPATA kuandika miaka ya nyuma kuwa Tanzania inateswa na mambo makuu mawili; Ujuaji na ukosefu wa uadilifu. Mosi; watu wanajua sana. Sehemu yenye kuhitaji utaalamu, yule ambaye fani haimhusu anaweza kuzungumza na kuonekana anajua zaidi. Mwaka jana, Jumuiya ya Wanasheria Tanganyika (TLS)...
  6. Ferruccio Lamborghini

    Inauma, inaumiza, inakereketa! William Mungu anakuona

    Jamaa hajamkimbia makusudi, pengine jamaa alipata taarifa nyeti kutoka kwa CIA na FBI kuhusu A to Z za huyo demu Nakazia Bwana Wile ana ajenda ya siri
  7. Ferruccio Lamborghini

    Inauma, inaumiza, inakereketa! William Mungu anakuona

    Jamaa hajamkimbia makusudi, pengine jamaa alipata taarifa nyeti kutoka kwa CIA na FBI kuhusu A to Z za huyo demu
  8. Ferruccio Lamborghini

    Inauma, inaumiza, inakereketa! William Mungu anakuona

    Nakazia, William kaupiga mwingi sana mbaya zaidi kafanya come back ya kibabe. Ndugu Liverpool VPN una maoni gani kuhusu baharia mwenzetu bwana Wile?
Back
Top Bottom