Recent content by FENtastic

  1. FENtastic

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Daah basi sijakumbwa na hii kadhia mfano naangalia mpira 4k kwa lisaa na nusu hapo si ninakuwa nishamaliza cap ila sijawahi sumbuliwa kabisa.
  2. FENtastic

    JamiiForums Tanzania Ikijulikana mahakama ilidanganya kuhusu CDF itaaminika tena?

    cocastic nakusabahi;)
  3. FENtastic

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Mimi natumia hii huduma kwa Yas ndio naona bora kuliko zile unlimited za kaiwada maana natumia speed ile ile mpaka mwezi unaisha bila shida yoyote na mara nyingi nafanya streaming ya 4K contents.
  4. FENtastic

    JamiiForums Tanzania Yajue Majina ya Ukoo Katika Makabila mbalimbali Tanzania

    Senyagwa ni watu wa wapi? Au kabila gani?
  5. FENtastic

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Ni kuwa tu mpole. Sure.
  6. FENtastic

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Mimi kuna kitu kimenitatiza kidogo. Jana nimeona pdf ya CO kwa Dar es Salaam, nikirejea tangazo lao la July ni kuwa walikuwa wanatakiwa 42 kwa mkoa wa Dar es Salaam, unfortunately pdf imetoka na majina 62 na baada ya kuyapitia nimegundua kwa waliofanya Oral 13/09 only 14 ndio wameitwa. Maanake...
  7. FENtastic

    JamiiForums Tanzania Msanii Bando MC hajui 'Ku-Rap'

    Mtu unajiita bando mc😂😂
  8. FENtastic

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Naomba kujua wapi nitaweza pata hizo pdf za afya hao walioitwa hivi karibuni
  9. FENtastic

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    wametoa kada zote?
  10. FENtastic

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Anataka kuacha kazi Serikalini sababu ya maslahi madogo

    Aaaah, mbona ilikuwa balaa. Miaka ipi hiyo🤣🤣🤣
  11. FENtastic

    JamiiForums Tanzania Wanaume JF acheni kuwafanya wanawake kuwa "objects"

    [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
  12. FENtastic

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Nani mafia humu anisaidie La Unidad Season 2 & 3?
  13. FENtastic

    JamiiForums Tanzania Mtu akifa anaenda wapi?

    Hebu gusia zaidi kuhusu hiyo emptiness mkuu
  14. FENtastic

    JamiiForums Tanzania Je, utawala wa IST unafika Kikomo?

    Sure man, pia wenye yard nao wabadilike maana wana access na wateja hata wale wazee wa kuagiza magari maana mteja akija mpe options siyo zile za hii gari ngumu mara hii gari haili wese.
Back
Top Bottom