Recent content by FENtastic

  1. FENtastic

    JamiiForums Tanzania Yajue Majina ya Ukoo Katika Makabila mbalimbali Tanzania

    Senyagwa ni watu wa wapi? Au kabila gani?
  2. FENtastic

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ni kuwa tu mpole. Sure.
  3. FENtastic

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mimi kuna kitu kimenitatiza kidogo. Jana nimeona pdf ya CO kwa Dar es Salaam, nikirejea tangazo lao la July ni kuwa walikuwa wanatakiwa 42 kwa mkoa wa Dar es Salaam, unfortunately pdf imetoka na majina 62 na baada ya kuyapitia nimegundua kwa waliofanya Oral 13/09 only 14 ndio wameitwa. Maanake...
  4. FENtastic

    JamiiForums Tanzania Msanii Bando MC hajui 'Ku-Rap'

    Mtu unajiita bando mc😂😂
  5. FENtastic

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Naomba kujua wapi nitaweza pata hizo pdf za afya hao walioitwa hivi karibuni
  6. FENtastic

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    wametoa kada zote?
  7. FENtastic

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    :D
  8. FENtastic

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Anataka kuacha kazi Serikalini sababu ya maslahi madogo

    Aaaah, mbona ilikuwa balaa. Miaka ipi hiyo🤣🤣🤣
  9. FENtastic

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume JF acheni kuwafanya wanawake kuwa "objects"

    [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
  10. FENtastic

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Nani mafia humu anisaidie La Unidad Season 2 & 3?
  11. FENtastic

    JamiiForums Tanzania Mtu akifa anaenda wapi?

    Hebu gusia zaidi kuhusu hiyo emptiness mkuu
  12. FENtastic

    JamiiForums Tanzania Je, utawala wa IST unafika Kikomo?

    Sure man, pia wenye yard nao wabadilike maana wana access na wateja hata wale wazee wa kuagiza magari maana mteja akija mpe options siyo zile za hii gari ngumu mara hii gari haili wese.
  13. FENtastic

    JamiiForums Tanzania Je, utawala wa IST unafika Kikomo?

    Umegonga mule mule, afu njoo uchek Honda civic ambapo kuna sports zake pia.
  14. FENtastic

    JamiiForums Tanzania Je, utawala wa IST unafika Kikomo?

    Afu mfano zile premio, Mark x, athlete na baadhi ya sedan za BMW na audi watu bado wanakomaa nazo as zipo so overrated Na overpriced while ukiangalia Honda na mazda wana same profile cars Kwa bei nzuri afu zina tech ya kisasa kabisa.
  15. FENtastic

    JamiiForums Tanzania Je, utawala wa IST unafika Kikomo?

    Sana mkuu maana hizi hizi budget za anaconda, tako la nyani, dualis etc unapata chuma kali sana.
Back
Top Bottom