Mimi kuna kitu kimenitatiza kidogo. Jana nimeona pdf ya CO kwa Dar es Salaam, nikirejea tangazo lao la July ni kuwa walikuwa wanatakiwa 42 kwa mkoa wa Dar es Salaam, unfortunately pdf imetoka na majina 62 na baada ya kuyapitia nimegundua kwa waliofanya Oral 13/09 only 14 ndio wameitwa. Maanake...
Sure man, pia wenye yard nao wabadilike maana wana access na wateja hata wale wazee wa kuagiza magari maana mteja akija mpe options siyo zile za hii gari ngumu mara hii gari haili wese.
Afu mfano zile premio, Mark x, athlete na baadhi ya sedan za BMW na audi watu bado wanakomaa nazo as zipo so overrated Na overpriced while ukiangalia Honda na mazda wana same profile cars Kwa bei nzuri afu zina tech ya kisasa kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.