Recent content by feliresope

  1. feliresope

    Ninatafuta mwanaume mtu mzima single

    Wapo watu wenye sifa ila nenda taratibu uwe unachuja. Pia usiamini mwanaume haraka hasa kwenye maswala ya pesa.
  2. feliresope

    Hatuwezi kuzuia ulimwengu usigawanyike pande mbili

    Dunia lazima iwe na kiongozi, na itabidi umuunge mkono au ukubali kukumbana naye pindi ukimpinga
  3. feliresope

    DOKEZO Responded Waziri wa Elimu, huu mtindo wa Kubakiza watoto shuleni wakati wa likizo ni Sahihi?

    Ni wakati wa kubadili mfumo wa elimu, ikiwezekana siku za kwenda shule ziwe nne badala ya tano kwa wiki. Ijumaa iwe ni siku ya michezo tu, pia masomo yawe kwa njia ya vitendo zaidi badala ya rote learning ambayo inadumaza watoto.
  4. feliresope

    Marekani iliunda kundi la kigaidi la ISIS (Daesh)

    Hii niliiona mda sana, kuna documentary ipo kwenye channel ya real stories inaeleza kila kitu.
  5. feliresope

    Taifa letu limekosa upinzani halisi. WanaCCM wawe wapinzani wa kweli na kumkosoa rais Samia anapokosea

    Mi nadhani hii inasababishwa na umasikini wa pesa, kila mtu anaingia kwenye siasa ili anufaike. Ndio maana inakuwa rahisi kununuliwa. Pia utambue nchi zetu rais ana mamlaka kubwa na kumshauri sio jambo jepesi.
  6. feliresope

    Usiyoyajua kuhusu ubongo

    Huu ugonjwa ni hatari sana
Back
Top Bottom