Congratulations man,everybody here is happy for your victory.Ulikua mpambanaji sana pia ulikua msaada kwa wale ambao kuna baadhi ya vitu tulikua hatuelewi kuhusu utumishi,I was praying for you
Wakuu naomba kuuliza,nimefungua akaunti NMB toka mwezi wa pili,juzi nimefuata kadi wananiambia bado hadi jumatatu.
Na akaunti nilifungua kwa ajili ya mshahara,sasa Jana nimesubiria SMS ya mshahara hadi saivi hamna kitu,je shida itakua NMB au halmshauri ndo kuna tatizo
Naomba kuuliza mkuu,hivi majina kwenye vyeti yakiwa na initial katikati alaf kwenye nida yapo yote matatu,kwa mfano kwenye vyeti ni John A Juma na kwenye nida ni John Alex Juma hapo kuna ulazima wa kuwa na hati ya kiapo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.