Recent content by Febby Kalage

  1. F

    Wadau nani ana CV ya Director General wa TANAPA Mr.Allan Kijazi

    Huo ni udaku asilimia 100%. Kumbe already you have the said CV mpaka umeona hafai, basi kwa nini unatumia jukwaa hili kuitafuta? Unamfanyia vetting wewe ndio mwajiri wake? Nahisi una lako jambo. Kama unadhani umbea unalipa endelea na pia utafute jukwaa lingine na sio hapa. Useless guy !! :focus:
  2. F

    Anatembea na babake!

    Yupo baba mwingine Ilala alikuwa anatembea na binti yake, kila binti apandapo kwenye gari baba anamuwekea mkono kama vile anashika gear lever lakini ni kwamba mkono uko kwenye paja la binti. Siku msichana alipokuwa anaolewa majirani wanashangilia na kuimba "achia ngazi baba mchuma unaondoka...
  3. F

    Anatembea na babake!

    Oh Lord have Mercy on us
  4. F

    Nimenuniwa kisa nimejiita Bachela mbele yake!!!!

    Ulikuwa unatangaza kwamba uko freee kwa yeyote, umemzalilisha sana mwenzio. Ila kazana kumtafuta umbembeleze maana hasira ya mapenzi humalizika kwa mapenzi. She loves you thats why she got mad. Mwee Mchague ya kusema wanaume mmezidi. Kwanza huyo jirani uliyempa lift wakati uko na mpenzi wako...
  5. F

    Dont try this at home

    Kweli huu ni udaku mtupu au njaroo, kwani size na pia harufu ya hubby ni sawa na ya watchman:lol: ??????
  6. F

    Daughter-in-law

    Mmmmh. Les enfants d'aujourdhui :shock:
  7. F

    Bosi Vs Secretary

    Hapo kweli kazi itafanyika na boss amesimamisha kiasi hicho :lol::embarassed2:
  8. F

    wife anapokulalamikia rafiki yako anamtaka....

    Suala la ka mtihani halipo hapo. Mkanye asiendelee kuwapa watu namba zake za simu. Be a man :eyebrows:
  9. F

    Waliopata kazi TRA

    Nilidhani ushauri aliopewa mfilipino ungeweza kujibu maswali ya kila mmoja wetu la sivyo tutamchosha bwana mikatabafeki:eyebrows: Otherwise " tulikumwe"
  10. F

    You wish You Weren't Married?

    Surely I do not regret why I ever married despite of ups of downs I prefer married life and have no regrets. No turning back.:tongue:
  11. F

    Tanzia

    Bwana Yesu alisema waacheni watoto wadogo waje kwangu msiwazuie. Poleni sana Mungu wa faraja awatie nguvu. RIP Innocent child
  12. F

    Matumizi ya simu katika Mahusiano

    Mhhhhh. mi sisemi hata wanaume pia wana save namba sa videmu vyao like plumber, electrician, mechanic nk. Mimi narudia tena kwamba msishambulie wanawake tu tena nyie wanaume ndio worse:eyebrows:
  13. F

    Mke wangu anastahili adhabu?

    You are right Calinista. Sijasoma hapa hata comment moja inayomhusu mke wa huyo boss ambaye naye pia kazulumiwa, naona kama vile boss ana right ya kufanya mapenzi nje ya ndoa. Mhusika nakuomba Msamehe mkeo muendelee na maisha yenu, kama ambavyo yeye angekusamehe kama angesikia una nyumba...
  14. F

    Nikamsikia akimwambia, ‘wewe ndiye mwanamke halisi’

    Kwa kweli hili limeniacha hoi. Ila nadhani hapakuwa na haja ya kumpiga yule mwanamke maana hakupenda kutenda tendo hilo na mpaka akasikika akisema "linda heshima ya mkeo" nadhani hapo aliyepaswa kuadhibiwa ni huyo mwanaume. Anyway jambo la muhimu hapo ni kwamba mmesameheana na kuanza upya, ila...
  15. F

    Kwa wale wenye nyumba ndogo - soma hapa

    Nyumba ndogo nadhani zinasaidia coz kuna some wives who dont have time for their husbands. Mume akirudi nyumbani akishamtengea chakula anamuacha mezani anakwenda kuangalia tv au kujizungusha mpaka mume anachoka anashikwa na usingizi analala hapati mtu wa kumbembeleza na kumpa mapenzi, hivyo...
Back
Top Bottom