Sawa Tee Bag.. ila fahamu kuwa zangu anazpata ila nkimwmbia anambie n system gan anayotumia kuzpata nami npate msg zake hataki kunambia..ndo maana nmeomba msaada
Natumain hamjambo wana MMU.
Ila mi nina moja tu naomba mnelekeze jinsi navyoweza kusoma message alizotumiwa mchumba wangu na mtu yoyote kwa kutumia simu yangu.
Msaada please.
kweli kuna mambo dunia hii bax mm nliambiwa ctaki uhusiano na wew kuanzia leo na uspende kunfuatilia fuatilia,,, nliumia kchz yan nkajhc c mm kwa jnc nlvompenda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.