Ni mara ngapi tunaombea wenza au wachumba wetu?

Ni mara ngapi tunaombea wenza au wachumba wetu?

kumuombea mke au mume mtarajiwa ni jambo zuri sanaaaaa
unamwekea ulinzi dhidi ya shetani ili isitokee dhoruba ya kusambaratisha mahusiano yenu
 
dah kwel yan lait nngefanya hvo ila bad nna nafas kubwa mbele ya mwnyez MUNGU
 
Misingi ya uhusiano wenu imejengwa vipi?

Ni vizuri kuombeana na uhusiano unaimarika. Lakini fikiria unamuombea mtu ambaye kila mkikutana mnavuana nguo na kufanya dhambi ya uasherati kwa makusudi. Kwa imani yangu ndogo, you are deceiving yourselves, but i stand to be corrected.
 
Hata mie haipiti siku bila kumuombea my sweet nanihiiii
 
Maombi ya mwenye dhambi ni makelele na chukizo mbele za Mungu. Jisafisheni kwanza mioyo yenu ndipo muombe na hakika Mungu atasikiliza hitaji lako.Kama huwezi hata waganga pia wanasaidia
Ukitaka kwenda kwa Maombi kwa Mungu jitakase kwanza na tengeneza mausiano mazuri na yeye ndiyo atakusikia,anasema lolote muombalo kwa jina langu nitawapa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nilikuwa naomba kila siku kipindi hapatikani nikijua labda kapatwa na matatizo ,nashtuka ucku wa manane namuombea kumbe looh kabadilisha namba ya cm anaishi na mwanamke mwingine
 
Back
Top Bottom