Kama unapenda hii tabia soma hapa

Kama unapenda hii tabia soma hapa

eehee....,ikawaje baada ya kuzinduka?..
alienda polisi kuchukuwa RB na kwenda hospitali,au aliamua kula kupotezea.?
 
eehee....,ikawaje baada ya kuzinduka?..
alienda polisi kuchukuwa RB na kwenda hospitali,au aliamua kupotezea.?
 
Unaweza kuliwa hivi hivi bila ridhaa yako

kuna kona unaweza banwa hata huyo ridhaa akashindwa kusema NO/HAPANA. Mjini biashara na wakijua una PESA utaliwa huku ukipigwa picha, afu uwekewe dau la kuzilipia vinginevyo watazitupia majukwaa ya wakubwa..
 
kuna kona unaweza banwa hata huyo ridhaa akashindwa kusema NO/HAPANA. Mjini biashara na wakijua una PESA utaliwa huku ukipigwa picha, afu uwekewe dau la kuzilipia vinginevyo watazitupia majukwaa ya wakubwa..

Na kweli!
 
peleka facebook.

kuna vitu ambavyo ni muhimu usifikiri ni facebook tu ndio kuna matatizo hata hapa JF kuna mambo kama haya ila siku ukikutana nayo ndipo utajua cha msingi hapa tunaelezana tu tahadhari hii ili siku umeanza process utakuwa makini sana
 
Alikosea staili za kukutana na mtu asiye mfahamu, ilitakiwa yeye akontro mazingira na awe suspicious, tatizo jamaa alijikita kwenye intimacy badala ya direction and purpose.
 
dah ALFUNZWA JAPO N DHAMBI.MITANDAO YAKIJAMII HII N MBAYA SANA ..YAPO MATUKIO KBAO TUUU
 
Back
Top Bottom