Iko hivi,ukipendwa na kusifiwa sana na mataifa ya ulaya na Marekani ujue kwako unaharibu na kinyume chake unachowafanyia watu wako ni kizur.Tafakar na chukua hatua
Utter nonsense..jinga kabisa hyo. Wanatafuta kick kweny kushtukiza, hivi nani asiyejua mapungufu kwenye hospitali zetu za umma? Serikali ilishawahi kupeleka fungu la kutosha kweny hizo hospitali hadi leo wayashangae hayo mapungufu? Magufuli ebu piga ban hizo safari za kushtukiza kwan wew ndo...
Ukitafakari madudu yaliyofanywa na watz wenzetu hasa kwenye mikataba katika sekta ya madini,yani kila ukiwaza adhabu ya kuwapa chini ya jua hili unaona ni ndogo kwao.
Shida sio waandishi wa magazeti peke yao, hata baadhi ya wananchi wanakuza sana mambo utadhani ni mazuzu. It is too early kumaliza maneno yote kwa muda mfupi huu tangu jamaa aingie madarakani
duuh hili ni jipu la pua kwa wazee wa kijan manake walikuwa washazoea kumtumia mwl Nyerere kupata kura vijijin.sasa ikitokea mtu kuanika mapunguf ya mwl ni kama kuwaamsha waliolala na kujua kuwa mwl alikuwa mwanadam kama wao. ni shida kwel anywayz wacha muv iendelee
ni kwel Mungu wetu ametupa maamuzi ya kuchagua maisha tupendayo.sambamba na hilo tumepewa utashi wa kujua baya na jema.sasa kwel mtu unapopima kweny akil yako et watu wa jinsia moja waoane inaleta mantik kwel???hata kama uhuru wa kuchagua ndo mtu achague mtu wa jinsia yake????yan hata wanyama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.