chisagapipi
JF-Expert Member
- Jun 27, 2015
- 467
- 104
Hayo matatixo yanasnzia ngaz ya wilaya hadi taifa sasa md watayasolve hayo jaman??hebu waoneeni huruma watu na matatizo yao.kumbuka kila kada ina umuhimu wake.ndio maana hata mortuary attendands wapo.