Nimependa ulivyochanganya lugha,imekuwa tamu,jitahidi umsamehe,ukiwa kwenye maombi tamka msamaha kwake,mf mimi pendomamtefu nakusamehe sister mary kwa yote uliyonikosea,ukifanya hivyo kwa muda nafsi yako itamwachia nawe utakuwa huru( speak it loudly,announce the forgiveness, let your ears hear it)
Kwel mkuu hii inaweza kuwa sababu au km alishakaa na mwajiri mkali sana au akiwa mdogo alikaa na wenzake ambao hawakumpa nafasi ya kuongea labda kwa sababu ya udogo wake,hivyo hana ujasiri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.