Kusaidia jamii inayokuzunguka

Kusaidia jamii inayokuzunguka

Mwaka jana kipindi kama hiki cha kukaribia xmas kuna mdada alinitumi elfu kumi. Kabla ya mwaka mpya akapata mchumba. Kuna trafik police alinitumia elfu hamsini. Kabla ya mwaka mpya akapandishwa cheo. Kuna mwana CCM alinitumia laki, juzi kashinda bila kushindana. Kuna konda alinirudishia chenji badala ya mia sita kanipa elfu tisa mia sita sasa hivi ni dereva na leseni juu.
Sikuambii unitumie pesa ila ukiangalia huo mtiririko huhitaji kuambiwa ona.
Deceiver! You are deceiving !!hahahaha
 
Wyatt Mathewson
Kama jamii haina ajira za kutosha masikini wanaongezeka ndiyo maana mabeberu wamewezesha watu wenye uwezo kuzalisha ajira na wanapatiwa msamaha wa kodi kwa miaka ya kwanza ili biashara ziimarike.

Kuna maji si ya walemavu, wengine ni walemavu wasioweza kuajirika hawa wanahiraji msaada

Wagonjwa wajane na yatima. Kuwa Saidi’s si lazima kutangaza. Wale wanaotangaza hawana tofauti na Mafarisayo.

Kutoa ni moyo si utajiri.
 
Back
Top Bottom