nahisi wajukuu azangu mmnaota ndoto za mchana huyu MAGU haijapata tokea kiongozi kama huyu ninamkubali na ninazhangaa kwa watu kukesha mnamuombea mabaya tunawajua mliokuwa mnategemea za upambe sasa wapambe wenu wengine leo wamenyonyolewa dodoma yaani hapa kazi tu MUNGU MBARIKI RAIS MAGUFULI...
huenda akamkaria mnyama ambaye kafika nane bora kilabu bingwa africa kacheza fainali kombe la CAF kamvua ubingwa EL -AHALI ni timu pekee inayoogopeka africa inayotoka africa mashariki
happy birthday kijana wa msimbazi ilifaa iwe siku ile ulifaa iwe siku ile ulipomkaribisha lwandamila bongo yaani niliiona mubashara shughuli yako we dogo Mungu anakuon nakuomba umtafute samatta huyo ndo wakiwango chako
safari hii hakuna kubebwa na magoli ya netball mnyama ni mbele kwa mbele refa yeyote akitoa kadi nyekundu maana yake anaitabiria simba hivyo wanaume hatuogopagi kadi kwa mnyama ni kiki
jamani huu ndo muda wa ukombozi na dalili ndo hizi wale waliofikiri kuiteketeza kabisa hii nchi kama akina membe,kina makamba na wengine kwa ajili ya kumzuia nywele nyeupe bila zababu walijikuta wanamuuzi MUNGU na matokeo yake ndo haya:
1. Kwa mbwembwe kubwa wakamchaagua mtu ambaye mungu...
ubarikiwe baba muhasham askofu mkuu cadrnali Pengo kondoo wako tunaisikia sauti yako na kuifuata MUNGU akuongoze pia Rais wangu MAGUFULI dhamana ya nchi Tanzabia iko nikononi mwako ukweli maisha ni magumu sana ila naamini MUNGU aliyewaokoa wana wa israel atatenda miujiza MUNGU IBARIKI TANZANIA...
naomba tu kama ni mwamuzi asituletee za kutumwa tff achezeshe vizuri tuwafundishe total football na siyo total netball ukweli uwe uwanjani mimi nina hasira sana yaani mpaka penalt vijana wapo MUNGU IBARIKI SIMBA SC MUNGU MBARIKI MNYAMA
acheni kelele kama anahusika sheria ichulue mkondo wake pesa zake kama ni zahalali MUNGU atamnusuru na siyo binadamu wapambe na waosha magari wenzenu tumeshituka na nunachukua hatua PIA NINAWAOMBEA WOTE WALIOMSTARI WA MBELE KATIKA HILI LA MADAWA.vijana wetu wametiwa wazimu na wazee wenye uchu wa...
tunamuhitaji sana huyo yebo za ndala hakika yale ya zanzibar yatajirudia trh 25 feb si hiyo hapo maana wamezoea vya kunyongwa kama comoro subiri mkutane na mnyama wa mwitu nahisi mtambumbuka na huyo msemaji wenu aliyeeenda malezi segerea kwa mdomo mchafu
watu wa tz tunakawaida kuacha wazo kuu na kuanza kupoteza ukweli kwa kuanza kuhusisha ushabiki wa siasa kama waziri mkuu ameshapewa taarifa na vyombo vinavyoaminika kuwa faru yupo aliuzwa sasa waliohusika wakamatwe bila kujali ni nani
mjukuuu ulishawahi kuufanya huo mtihani ukaona ulivyo au ndio zile za tz za kuongelea majukwaani usifikiri hao watoto ni upepo hakuna anayefikiri kubeti wakati wakutoa jibu sahihi acheni uzushi
watanzania wenzangu kwanza nampongeza rais wangu kwa maamuzi hayo kwani bila hivyo wabunge wetu na mawaziri hawawezi kutilia mkazo maswala ya afya kwani siku hizi hata magonjwa ya kawaida eti lazima uende nje wacha maumivu ya huduma mbovu ya afya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.