Recent content by faure

  1. F

    JamiiForums Tanzania Unataka kufanikiwa katika Maisha? Acha kufanya mambo haya

    Aise mkuu umetisha asante sana,,nimepata kitu
  2. F

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Karatasi za kupigia kura, kusambazwa kesho

    karatasi za kupgia kura katika uchaguzi wa marudio visiwani zanzibar zinatarajia kuanza kusambazwa kesho katika maeneo mbalimbali visiwani humo. Ehh Mwenyezi Mungu ijalie Zanzaibar ipite salama hatua hii
  3. F

    JamiiForums Tanzania Romney asema Donald Trumph ni tapeli

    Aliyekuwa mgombea urais wa marekani kwa tiketi ya Chama cha Republican katika uchaguzi mkuu wa Mwaka 2012 Mitt Romney amesema Donald Triumph ni tapeli anayetaka kuingia ikulu ya white house. Romney ameonya ikiwa Republican itampitisha Mfanyabiashara huyo kuwania urais itakuwa ni sawa na kumpa...
  4. F

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania yaonya wanadiplomasia

    SHUGHULI ZAO ZAWEZA KUINGILIA MAMBO YA NDANI YA TANZANIA
  5. F

    JamiiForums Tanzania MGOGORO BAINA YA RWANDA NA BURUNDI NA ATHARI ZAKE KIKANDA

    kIINI CHA MGOGORO WA BURUNDI NA ATHARI ZAKE KIKANDA
  6. F

    JamiiForums Tanzania Mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Zika

    hahahahah
  7. F

    JamiiForums Tanzania Mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Zika

    Siku chache baada ya kuelezwa kuwa virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Zika huambukizwa kwa kuumwa na mbu aina ya Aedes, madaktari nchini Marekani wamebaini kuwa ugonjwa huo pia huambukizwa kwa njia ya kujamiiana. Madatari wa Jimbo la Texas katika kituo cha udhibiti wa maradhi kinachojulikana...
  8. F

    JamiiForums Tanzania Maofisa wa jeshi Zimbabwe kortini

    Maofisa wanne wa Jeshi la Ulinzi nchini Zimbabwe wameshtakiwa kwa tuhuma za uhaini na kupanga njama za kumwangusha rais Robert Mugabe Chanzo: BBC Africa
  9. F

    JamiiForums Tanzania BAKWATA waunga mkono Uchaguzi Kurudiwa Zanzibar

    kILA MTU ANA UHURU WA KUTOA NA KUELEZA MAWAZO YAKE,KUWA KIONGOZI WA DINI AU TAASISI YOYOTE HAKUKUZUII KUTOA MAWAZO JUU YA JAMBO FULANI
  10. F

    JamiiForums Tanzania MATTAKA AISHUKIA BODI ATCL

    Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), David Mattaka anayekabiliwa na kesi ya kukiuka sheria katika mchakato wa ununuzi wa magari 26 ya shirika hilo, amekana mashtaka hayo na kuitwisha mzigo Bodi ya Wakurugenzi. Akitoa utetezi wake jana, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi...
  11. F

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamu historia ya nchi ya Maldives

    WAKUU NI KATIKA KUKUZA UELEWA WANGU JUU YA MASUALA YA KIMATAIFA NAOMBA KUJUA HISTORIA YA NCHI YA MALDIVES
Back
Top Bottom