F faure Member Joined Jan 25, 2016 Posts 12 Reaction score 2 Feb 3, 2016 #1 Maofisa wanne wa Jeshi la Ulinzi nchini Zimbabwe wameshtakiwa kwa tuhuma za uhaini na kupanga njama za kumwangusha rais Robert Mugabe Chanzo: BBC Africa
Maofisa wanne wa Jeshi la Ulinzi nchini Zimbabwe wameshtakiwa kwa tuhuma za uhaini na kupanga njama za kumwangusha rais Robert Mugabe Chanzo: BBC Africa
A Aleyn JF-Expert Member Joined Nov 12, 2011 Posts 23,811 Reaction score 41,915 Feb 3, 2016 #2 Vibaraka wa wazungu hao, adhabu yao ni kifo ili iwe fundisho.