Acha hizo unazifahamu nanihii za wanawake zaidi yao wenyewe? hamu unavyoipata wewe ndivyo anavyoipata mwanamke tofauti ni kwamba wanawake tumeumbwa na haiba ambayo inatusaidia kutokuonyesha madhaifu yetu kwa sana ingawa wengine vinawashinda
Yaani huyu hata hajui maisha ninini Mungu wangu. embu msaidieni, anyway kama shida ni mtoto anaweza akaenda kuadopt kwenye vituo wako wachanga kibao aache ununda hapa
Kama aalikuwa mbadhilifu ni kwa hao mabadhilifu wenzake lakini huku alipoingia lazima awe mtakatifu maana swala tano atainama tu na kujihukumu kwa matendo yake. Tumpe sapoti jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.