Recent content by Fatumah

  1. F

    Prof. Lipumba ana uhusiano gani Ponda?

    Hivi kamanda Kova alisema atakuwa anatembelea hili jukwaa, kulikoni leo au ndo wikendi tena, maana hii habari inaharufu ya kilichompa ID JF
  2. F

    Slaa na Zitto ni turufu ya CHADEMA 2015

    Isikuumize kwasasa Chadema hata likiwekwa jiwe 2015 nchi ni yao
  3. F

    JF Mobile Haifunguki katika simu yangu

    Tatizo limeisha lakini mimi natumia Blackberry picha hazionekani kabisa
  4. F

    Haka katabia ka wadada kananikera sana!!!

    Lakini haimaaanishi ndo mrudie mara ya pili
  5. F

    Natafuta Mdada wa kuzaa naye mtoto

    Aliyekwambia wewe ni damu ya babako ni nani? na Unamwamini?
  6. F

    Swala la Lwakatare: sio Mwigulu peke yake Mbona Wasira, Nape hamuwajumuishi?

    Umesahau Michuzi mzee wa software standard seven kamera mani na mpiga picha wa Ikulu
  7. F

    Haka katabia ka wadada kananikera sana!!!

    Acha hizo unazifahamu nanihii za wanawake zaidi yao wenyewe? hamu unavyoipata wewe ndivyo anavyoipata mwanamke tofauti ni kwamba wanawake tumeumbwa na haiba ambayo inatusaidia kutokuonyesha madhaifu yetu kwa sana ingawa wengine vinawashinda
  8. F

    Haka katabia ka wadada kananikera sana!!!

    Usikurupuke kumuita mjinga ndo maana kakwambia ni mistake au huelewi maana ya bahati mbaya wewe
  9. F

    Natafuta Mdada wa kuzaa naye mtoto

    Yaani huyu hata hajui maisha ninini Mungu wangu. embu msaidieni, anyway kama shida ni mtoto anaweza akaenda kuadopt kwenye vituo wako wachanga kibao aache ununda hapa
  10. F

    Lwakatare afutiwa mashtaka ya Ugaidi

    Huna mpya kajipange uje kivingine hivi ni umelala doroooooo
  11. F

    Kiss on the neck...

    Huyo anakuwa mchafu tu, ili uinjoy ni vizuri ukamuandalia mwenzio mazingira ya kuinjoi pia
  12. F

    Kiss on the neck...

    Sanaaaaaaa
  13. F

    Tizeba ateuliwa kugombea Udiwani kata ya LUGATA kupitia Chadema.

    Kama aalikuwa mbadhilifu ni kwa hao mabadhilifu wenzake lakini huku alipoingia lazima awe mtakatifu maana swala tano atainama tu na kujihukumu kwa matendo yake. Tumpe sapoti jamani
Back
Top Bottom