Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,578
- 28,701
Jamaa ni msomi wa kwenye vitabu...ukimweka kwenye reality ni kilaza balaa.....
Pasua baba pasua mpaka kielewekekinachowasumbuwa ni udini wenu,mbona slaa anashinda kanisani hamjamsema,lipumba mwislaam na anasali msikitini,nini kimekukera au ulitaka asali kanisani ndio aonekane si mdini,tatizo ni umbumbumbu wa kifikra mbashindwa kujuwa maana ya udini.ponda ni kiongozi wa kitaifa wa waislaam.pia tambuwa kuwa lipumba ni mfuasi wa dini ya kiislam,hivyo shekh ponda ni kiongozi wake kama ambavyo mbowe na slaa ni wafuasi wa uroma.
Usitake kulazimisha.Shekhe Simba ndio kiongozi wa waislamu Tanzania nzima na sio Ponda,nyinyi ndio mnaojilipua...kinachowasumbuwa ni udini wenu,mbona slaa anashinda kanisani hamjamsema,lipumba mwislaam na anasali msikitini,nini kimekukera au ulitaka asali kanisani ndio aonekane si mdini,tatizo ni umbumbumbu wa kifikra mbashindwa kujuwa maana ya udini.ponda ni kiongozi wa kitaifa wa waislaam.pia tambuwa kuwa lipumba ni mfuasi wa dini ya kiislam,hivyo shekh ponda ni kiongozi wake kama ambavyo mbowe na slaa ni wafuasi wa uroma.
Pasua baba pasua mpaka kielewekekinachowasumbuwa ni udini wenu,mbona slaa anashinda kanisani hamjamsema,lipumba mwislaam na anasali msikitini,nini kimekukera au ulitaka asali kanisani ndio aonekane si mdini,tatizo ni umbumbumbu wa kifikra mbashindwa kujuwa maana ya udini.ponda ni kiongozi wa kitaifa wa waislaam.pia tambuwa kuwa lipumba ni mfuasi wa dini ya kiislam,hivyo shekh ponda ni kiongozi wake kama ambavyo mbowe na slaa ni wafuasi wa uroma.
Vipi na yule Al shababu wa Chadema (Lwakatare) bado yuko Jela? au nae kahukumiwa kifungo cha nje? mwaka huu tunashuhudia ma al shababu ktk kila sekta hata huko Arusha nasikia wamekamatwa ma alshababu 3 kwa kutupa bomu Kanisani wenye majina ya Kikristo kama ifuatavyo:Victor Ambrose Calist (20, mkazi wa Kwa Mrombo, Arusha)Joseph Yusuph Lomayani (18, mkazi wa Kwa Mrombo, Arusha)George Bartholomeo Silayo (26, mkazi wa Olasiti, Arusha)Al Shababu kwa kubadilisha majina bana! mara wajiite Lwakatare, mara Ambrose nk!
By tunduruboyAl Shababu huyo.
*Asema mkakati wa kukamatwa kwake uliandaliwaLipumba na Ponda wanasali 'usharika' mmoja
jamaa ana akili sana za kwenye vitabu, lakini akili za kuwa strategic ili awe rais hakubarikiwa nazo kabisa, hata mtoto mdogo anamzidi. isingekuwa udini, jamaa yule alifaa kuwa rais wetu na tungeshamchagua, lakini kwasababu akili yake iko obsessed na udini na ungunguli, na kusambaza chuki kwa waislam kuwa wanaonewa na wakristo (haki sawa kwa wote slogan), basi hana maana yeyote hapa tz. kwanza akatafute mke aoe wazeeke pemoja, ndo maana kikwete alimtania kule jangwani kuwa watu wanataka kuingia ikulu bila mke (slaa nae alipata dongo lake kuwa angeingia ikuulu na mke wa kuazima)...
Yawezekana ni kweli. Lakini umesahau huwa anapita ktk misikiti kuomba mwaka 2015 achaguliwe urais eti kisa mwaka 2005/2010 alimwambia JK kwa kuwa ni muisilamu mwenzake, kwa hiyo sasa hivi hakubali lazima wape yeyewana undugu kwa kua wote ni waumini wa dini ya kiislam...ni hilo tu.