Nimependa kujiuzulu kwa Nchimbi ili kupisha utawala wa kifalme . Afanye hivyo kama mfadhili na rafiki yake Museveni kieleweke. Sasa naamini Tanzania ni shamba la bibi tena mwenyewe kiziwi na kipofu.
Kwa ufupi, hao hapo juu ndo napendekeza wateuliwe mmojawapo tumalizane na kianze kuumana kwenye...
Swali hapo juu lipo wazi
Je, uwepo wa moto au kuingia motoni ni kamba hasa ikizingatiwa:
Wapo watu wanaochomwa moto wanapokufa,
Pia, wapo wanaozikwa na miili kuoza.
Kama hli ndiyo hii, huu moto tunaotishwa nao na dini nyemelezi na za kikoloni za kigeni zilizotugeuza mataahira na mazwazwa, huu...
Japo asemacho n i kweli kabisa, huyu mshenzi mdini ashindwe mara ngapi na ameonyesha alivyo mdini na wa hovyo sawa na wale anaowashitaki. Hili ni somo kwa washeenzi wetu kuwa wanachafua sifa yetu nzuri.. Lazima apigwe chini maana ni sumu kwa uhusiano wa kimataifa senzi kabisa Mundubile ambaye...
Binti wa kwanza June Ruto ni mke wa Dr. Alexander Ezenagu Minigeria.
Charlene binti yake mwingine anaeolewa na Isaya Yumbe Mtanzania
Pamoja na kutudharau Watanzania wakajifanya mashapu, inakuwaje mabinti wa rais wanaolewa nje?
Vijana wa kiume wa Kenya mnashindwa wapi au ni kwa sababu ya one...
Kwa wanaojua uchafu wa CCM na mwenyekiti wake, waliomuona rais Samia akitangaza kuundwa kwa jopo litakaloongozwa na majaji wawili mmoja toka Namibia na mwingine Uganda, atakuwa ameshangaa na kuhuzunika namna watawala wetu wasivyo na busara.
Je, Samia amekubaliana na nani na kupata idhini ya...
Shehe huyu na diamond wote ni mambwa haswaa. Unawezaje kumuoa mwanao ambaye ni tone kama siyo uumbwa wa kunuka? Dini nyingine ni za shetani hata kama zinajinakidi kuwa ni za Mungu kwa kutumia majina ya ajabu ajabu.
Ukiondoa Namibia, Uganda ina nini cha kutufundisha au ni kwa vile Museveni alimsaidia Samuya kuzima Gen Zs. Nani anamdanganya nani hapa au kujitoa ufahamu akidhani wote ni majuhaa kama yeye?
Unaongelea huyu chawa anayejifanya daktari wakati ni kilaza wa kawaida. Halafu linaoneka jilevi la kufa. Nchi inapokuwa na waziri mkuu bweeegeee kama hili jua aliyemteua kadhalika. Maswali yake yote ya kichawa chawa. Na Polepole, Ben Saanane, na wengine waliuawa na hao maadui wako wa kubuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.