Recent content by Father of All

  1. F

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Rais Samia, Abdul Hafidh Ameir na Ujumbe wake afika Ikulu ya Entebbe kujadili sekta binafsi zinavyoweza kunufaisha Tanzania na Uganda

    Hii takataka inaweza kumwakilisha nani au ni maandalizi ya kumtengeneza Muhoozi mpya?
  2. F

    JamiiForums Tanzania Nini chanzo Cha kifo Cha mpishi wa Emmanuel nchimbi wiki iliyopita?

    Huenda walimagufuli.
  3. F

    JamiiForums Tanzania Napendekeza Samia ateue aidha Mchengerwa, Wanu siyo Tulia

    Yep si ni kijitabu tu ambacho hakiwezi kumzuia mama kufanya apendalo
  4. F

    JamiiForums Tanzania Napendekeza Samia ateue aidha Mchengerwa, Wanu siyo Tulia

    Nimependa kujiuzulu kwa Nchimbi ili kupisha utawala wa kifalme . Afanye hivyo kama mfadhili na rafiki yake Museveni kieleweke. Sasa naamini Tanzania ni shamba la bibi tena mwenyewe kiziwi na kipofu. Kwa ufupi, hao hapo juu ndo napendekeza wateuliwe mmojawapo tumalizane na kianze kuumana kwenye...
  5. F

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Rais Samia, Abdul Hafidh Ameir na Ujumbe wake afika Ikulu ya Entebbe kujadili sekta binafsi zinavyoweza kunufaisha Tanzania na Uganda

    Utawala wa kifala na kifalme. Huyu naye ni Keinerugaba namba mbili bado Riziwani
  6. F

    JamiiForums Tanzania Biblia: Kitabu cha Mkanganyiko au Neno la Mungu?

    Kwani biblia na quran siyo vitabu vya hadithi za kale zilizopewa uungu wakati ni ukoloni wa kawaida wa kimila?
  7. F

    JamiiForums Tanzania Kama kweli kuna moto kwa watakokuwa na makosa baada ya kufa, hawa wanaochomwa au kufanyiwa cremation, watachomwa nini mbali na wanaozikwa miili kuoza?

    Swali hapo juu lipo wazi Je, uwepo wa moto au kuingia motoni ni kamba hasa ikizingatiwa: Wapo watu wanaochomwa moto wanapokufa, Pia, wapo wanaozikwa na miili kuoza. Kama hli ndiyo hii, huu moto tunaotishwa nao na dini nyemelezi na za kikoloni za kigeni zilizotugeuza mataahira na mazwazwa, huu...
  8. F

    JamiiForums Tanzania Brian Mundubile: Zambia sio Tanzania. Adai kuwa mbinu za kuiba kura zinazotumika Tanzania zinatumiwa Zambia kwenye Taifa la Kikristo

    Japo asemacho n i kweli kabisa, huyu mshenzi mdini ashindwe mara ngapi na ameonyesha alivyo mdini na wa hovyo sawa na wale anaowashitaki. Hili ni somo kwa washeenzi wetu kuwa wanachafua sifa yetu nzuri.. Lazima apigwe chini maana ni sumu kwa uhusiano wa kimataifa senzi kabisa Mundubile ambaye...
  9. F

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Ni kweli sawa na wale wanaoamini Mungu.
  10. F

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Isaya Yunge, kijana wa Kisukuma aliyemposa binti wa Rais Ruto wa Kenya

    Binti wa kwanza June Ruto ni mke wa Dr. Alexander Ezenagu Minigeria. Charlene binti yake mwingine anaeolewa na Isaya Yumbe Mtanzania Pamoja na kutudharau Watanzania wakajifanya mashapu, inakuwaje mabinti wa rais wanaolewa nje? Vijana wa kiume wa Kenya mnashindwa wapi au ni kwa sababu ya one...
  11. F

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia ameshauriana na kupata ruhusu kwa nani kutuletea wageni eti kuja kuchunguza mauaji ya Oktoba 29, 2025?

    Kwa wanaojua uchafu wa CCM na mwenyekiti wake, waliomuona rais Samia akitangaza kuundwa kwa jopo litakaloongozwa na majaji wawili mmoja toka Namibia na mwingine Uganda, atakuwa ameshangaa na kuhuzunika namna watawala wetu wasivyo na busara. Je, Samia amekubaliana na nani na kupata idhini ya...
  12. F

    JamiiForums Tanzania Kidini unaruhusiwa kumuoa mtoto wa nje ya ndoa - Sheikh Kulunge

    Shehe huyu na diamond wote ni mambwa haswaa. Unawezaje kumuoa mwanao ambaye ni tone kama siyo uumbwa wa kunuka? Dini nyingine ni za shetani hata kama zinajinakidi kuwa ni za Mungu kwa kutumia majina ya ajabu ajabu.
  13. F

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Tumeamua kuwashirikisha wenzetu kutoka Uganda na Namibia kupata muono mpana. Tume inakwenda kutafuta nani walichochea, waliotoa fedha

    Ukiondoa Namibia, Uganda ina nini cha kutufundisha au ni kwa vile Museveni alimsaidia Samuya kuzima Gen Zs. Nani anamdanganya nani hapa au kujitoa ufahamu akidhani wote ni majuhaa kama yeye?
  14. F

    JamiiForums Tanzania David Djumbe, msaidizi wa Tundu Lissu aongea mazito akiwa uhamishoni nje ya nchi 07 Agosti 2026

    Unaongelea huyu chawa anayejifanya daktari wakati ni kilaza wa kawaida. Halafu linaoneka jilevi la kufa. Nchi inapokuwa na waziri mkuu bweeegeee kama hili jua aliyemteua kadhalika. Maswali yake yote ya kichawa chawa. Na Polepole, Ben Saanane, na wengine waliuawa na hao maadui wako wa kubuni...
  15. F

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa yuko 'kwenye Mikono Salama'

    Japo sipendi wala kuunga mkono matusi yake, wanamuonea. Kwanini wasimkamate huyo muuaji anayedaiwa kumtukana wakati hafai?
Back
Top Bottom