kweli ndugu yangu ebu fikiria yan huyu mzee ndio tunamuita mzee wa busara yuko tayari nchi iangamie lakini GAMBA libaki!!!! beta die than living in dis dark country
Bila shaka wewe una damu ya ufisadi haiwezekani mtu mwizi na anayekufanya ukae gizani kwa sababu ya kujali tumbo lake tuu awe ndio chaguo lako kwangu mimi kiongozi hata awe mtendaji kiasi gani lakini kama ni fisadi,msaliti na mhujumu no 1 wa uchumi wa nchi yake anastahili kufilisiwa mali zake...
wE NI WA WAPI MBONA UNAMAWAZO MGANDO HIVYO??? UNGEKUWA UNAHUBIRI UMASIKINI ULIONAO KAMA UNAVYOHUBIRI DINI NINGEKUONA WA MAANA NAONA DINI IMEKUKAA SANA KAWE SHEKHE AU PADRI UKAHUBIRI....JF SI SHEMU YA UDINI SHINDWA NA UTOKOMEE
kwa hili la gaddafi nimeamini waafrika(hasa viongozi wetu) uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana ndio maana wazungu wanatutumia wanavyotaka na kwa mtaji huu mzungu atatutawala mpaka mwisho wa dunia hii kwa sababu sisi ni vibaraka ,hatujitambui ,hatuna maamuzi,hatuna uchungu na nchi zetu....shame...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.