Babkey
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 4,834
- 3,655
Kila kamba atakula kwa urefu wa Mbuzi wake !
...tehee, hawa wengine wamekata mbuzi. Hawafanyi hivyo mkuu.
Kila kamba atakula kwa urefu wa Mbuzi wake !
Maisha ya wakati wa Mwalimu na sasa ni tofauti kabisa. Wakati ule nyumba za serikali zilikuwa ni za kutosha na ndiyo zilizokuwa zinaonekana ni za kisasa zaidi, kwa hiyo haikuwa inashawishi mtu yeyote kujenga. Tena ukumbuke kuwa hakuna mfanyakazi wa serikali aliyekuwa anajenga wakati ule. Ninawafahamu ndugu zangu wengi sana waliokuwa na vyeo vikubwa sana tu serikalini lakini walikufa bila hata kibanda. Lakini si maisha ya sasa, ambapo hata walimu wa shule ya msingi wanajenga. Sasa jiulize kama mwalimu wa shule ya msingi na mshahara wa laki moja na nusu kwa mwezi anaweza kujenga nyumba yake, iweje kwa waziri kushindwa kujenga pamoja na marupurupu yake.Tupe jina moja tu la waziri aliyejenga nyumba ya maorofa kama hayo enzi za Mwalimu
Tena huyu ana vimiradi vingi sana kwenye migodi ambavyo kaandikisha vijikampuni vyake kwa majina tofauti na ingekuwa TAKUKURU inafanya kazi basi wangesha mtoa hadharani
Mimi siku zote napenda kuingia hivi!! Kama ifuatavyo
HII TZ MIMI NA IFANANISHA NA FRASH,MEMORYCARD NA EXTERNAL ZINGNE AMBAZO ZIMEJAA MA VIRUS
SASA IMEKUWA KILA SIKU NI KUDELETE TU! HAYA MATROJAN(kujivua gamba) MIMI NIONAVYO BORA KU FORMAT KULIKO KUSCAN NA MA ANT-VIRUS AMBAYO NI NOT UPDATED!!!! Sh***@@##zy kabisa
BORA KUIFORMAT KWA MGOMO NCHI NZIMA
TUANZE KUINGIZA FILES UPYA!
yaani nipo moto acha tu!
Ukiongelea unequal distribution of resources hapa nchini hilo naliafiki kwa kiasi kikubwa sana. There is no any reason why the northern part of the country should be more developed than the rest of the country. Haitoshi kutuambia kwamba uwepo wa mlima kilimanjaro pekee ndo ulitosha kuifanya Kilimanjaro kuwa that much developed, kushinda kule Mwadui, au geita. Katika hilo kuna shida kubwa sana, na ninafikiri idea ya akina Mbowe ya serikali ya majimbo inaweza kuwa ni jibu. Kila kinachochumwa mahali fulani kitumike kupajenga hapo kilipochumwa. Ni aibu kwa mikoa kama Songea au rukwa kuwa maskini ilihali ndiyo kisima cha uzalishaji nchini. Lakini hizi habari za fulani mwizi kaiba sijui nini, hazileti maana kama hazina ushahidi wa kutosha.Uzalendo tz hakuna,kila m2 ni mwizi ila inapobainika tu ndio matatizo huanza.Jiulize,kwa nini maeneo mengine tz hii yameendelea, lami hadi vijijini na mengine hakuna?je walichangishana hela wakajenga au ni wizi? Mimi nikiwa waziri haki ya MUNGU lazima niibe.tena waziwazi kabisa! Hawa wote wanaopiga makelele si wanatafuta mpunga tu,hakuna lolote.
mmh mi mgeni ndo kwanza nimefikaKila kamba atakula kwa urefu wa Mbuzi wake !
PIGA kiberiti maandamano yakianza
mwenye ushaidi kajenga kwa fedha za wizi atuwekee,sio mnaleta uzushi kama Slaa wenu.
Kamasi zako zipo wapi hapo!. Umeambiwa Client wa hilo jengo ni Jakandom investment co.Ltd. Ni mfanyabiashara wa samaki hapo mwanza. Basi tumia akili zako zenye makohozi umtafute huyu akupe data kapataje mshiko wote huo wa kujengea gorofa kama samaki hawauziki. Mr.Ngeleja anahusika vipi hapo?. Muite ngeleja mwizi kwa kutumia ushahidi kama ule wa CAG, na sio huu uzushi wenu. atawashinda. Ukweli bado unabaki kuwa hii nchi kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake. Ninahisi hata wewe Maarko ukipewa hii wizara ya ngeleja tena utatamani uongeze kamba kutoka Geita gold mine hadi hapo kwenu Lindi. Suluhisho ni kuondoa madarakani hawa waliochoka na kuweka mvinyo mpya wenye uchungu na maisha ya wa tZ.Wewe Gembeson Unatumia makamasi badala ya Ubongo kufikiri.
Wananachi wengine wanajifanyia biashara zao. Hakuna anyesema mwananchi ye yote awe wa kawaida au waziri asiwe tajiri (kumbuka tuko katika itikadi ya utajirisho). Mawaziri wanaandamwa kwa sababu ndio serikali ambayo ndio inajukumu la kulinda raslimali za taifa na kusimamia hiyo keki kwa haki ili kila mtu apate haki yake. Sasa tunapoona wao wanajigawia vipande vikubwa kuliko stahiki ni lazima tuwaangalie kwa macho makali maana huo ni UFISADI. UFISADI maana yake ni wizi wa mali za umma unaofanywa na wale waliokabidhiwa madaraka ya kusimamia mali hizo.mnaangalia mawaziri2, wananchi wengine hamuwaangalii?
Tumechoka sasa! Atakayemwona alipo Mr Megawati niambieni. Potelea mbali!
Wivu tu!, nyie kinawauma nini Mr.megawati kujenga gorofa?. Mbona mshahara wake na posho anazopewa spika zinatosha kujenga hata gorofa kumi?. sembuse hizo tano!.