STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,770
- 553
Wadau, kwa habari zisizo rasmi, inasemekana Mh lowasa ndio anachochea viongozi na makada mbalimbali jijini arusha kuhamia cdm. Hili naona linaweza kutucost hapo baadae. kwani makada wa ccm siwaamini kabisa.
Nawasilisha.
Umbeya huo, Lowasa hawezi kufanya hivyo hata kidogo huo ni Uzushi.