Recent content by Faru01

  1. F

    JamiiForums Tanzania Nataka nipande ndege niende Zanzibar niushtue umasikini kidogo, Kwani lazima niwe na passport?

    Wakuu kwema, Naombeni kuuliza nyie wakishua nataka nipande ndege niende Zanzibar niushtue umasikini kidogo, Kwani lazima niwe na passport au?🤔
  2. F

    JamiiForums Tanzania Hakuna kununua chochote kwenye biashara ya msanii, iwe ni nguo, vipodozi, msiishie tu kuwa unfollow

    Tunanunua na kuwapa sapoti #Tusipangiane
  3. F

    JamiiForums Tanzania Taarifa kwa Umma: Maandamano kesho yanaendelea

    Naona umeweka profile picture ya bwana ako. 😅Baba atakuwa proud sana.
  4. F

    JamiiForums Tanzania Figusi tayari: TikTok haipatikani Tanzania hata uweke VPN

    Muage kwenu, Wahalifu awamu hii mmejichanganya.
  5. F

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Gen Z hawapoi: Desemba 9, 2025 kuja na maandamano mapya

    Mida kama hii kesho
  6. F

    JamiiForums Tanzania Video: Mgambo akipata kichapo heavy toka kwa wananchi

    Hao jamaa wajiandae, Sheria lazima ifuate mkondo wake. Hii haikubaliki.
  7. F

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wanasheria watinga ICC na kufungua kesi dhidi ya Rais Samia na wakuu wa Vyombo vya Usalama Tanzania

    Endeleeni kujidanganya. ICC wamkamate putin kwanza
  8. F

    JamiiForums Tanzania GE2025 Je, Maandamano yamefeli mpaka sasa? Barabara nyeupe, mikwara yote kwisha

    🤣mkuu unajitekenya, hapa sio bongoland yaya
  9. F

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kikombe cha mateso cha watanzania hakija-jaa ni moja ya sababu ya kufeli kwa maandamano

    Mbn mnaaza kuleta excuses, Toka wengine watafuata
  10. F

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hongera Samia kwa 'ushindwe' wa kishindo hata kabla ya matokeo!

    Duh pole kwa kuingiliwa kinyume🧐
  11. F

    JamiiForums Tanzania GE2025 Martha Karua: Kinachotokea nchini Tanzania si Uchaguzi bali ni kutawazwa kwa Rais Samia

    Si mlisema mnaenda kuandamana? mbn mnasema stori zingine tena🫵😂
  12. F

    JamiiForums Tanzania GE2025 Youtube wanashida gani leo au wanasystem wameanza mambo yao?

    Tutakuwepo badoo saa chache 🫵
  13. F

    JamiiForums Tanzania GE2025 Youtube wanashida gani leo au wanasystem wameanza mambo yao?

    Unaonekana ww bado mgeni town😂
Back
Top Bottom