Recent content by Faru01

  1. F

    Nataka nipande ndege niende Zanzibar niushtue umasikini kidogo, Kwani lazima niwe na passport?

    Wakuu kwema, Naombeni kuuliza nyie wakishua nataka nipande ndege niende Zanzibar niushtue umasikini kidogo, Kwani lazima niwe na passport au?🤔
  2. F

    Taarifa kwa Umma: Maandamano kesho yanaendelea

    Naona umeweka profile picture ya bwana ako. 😅Baba atakuwa proud sana.
  3. F

    Figusi tayari: TikTok haipatikani Tanzania hata uweke VPN

    Muage kwenu, Wahalifu awamu hii mmejichanganya.
  4. F

    Video: Mgambo akipata kichapo heavy toka kwa wananchi

    Hao jamaa wajiandae, Sheria lazima ifuate mkondo wake. Hii haikubaliki.
  5. F

    GE2025 Je, Maandamano yamefeli mpaka sasa? Barabara nyeupe, mikwara yote kwisha

    🤣mkuu unajitekenya, hapa sio bongoland yaya
  6. F

    GE2025 Kikombe cha mateso cha watanzania hakija-jaa ni moja ya sababu ya kufeli kwa maandamano

    Mbn mnaaza kuleta excuses, Toka wengine watafuata
  7. F

    GE2025 Hongera Samia kwa 'ushindwe' wa kishindo hata kabla ya matokeo!

    Duh pole kwa kuingiliwa kinyume🧐
  8. F

    GE2025 Martha Karua: Kinachotokea nchini Tanzania si Uchaguzi bali ni kutawazwa kwa Rais Samia

    Si mlisema mnaenda kuandamana? mbn mnasema stori zingine tena🫵😂
Back
Top Bottom