Recent content by farouk

  1. F

    Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

    Utaandamana we na baba ako!
  2. F

    Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

    Acha hizo!We uzinzi ufanyi?Yule mtoto hana hatia hata kdg ila sio mbaya kushikiliwa coz alikuwa na huyo marehemu dakika za mwisho!Vinginevyo Kanumba ashitakiwe km unaona sheria inatakiwa kufanya kazi!Wabongo kwa kushadadia ya wenzenu na yenu mmetia kwapani hamjambo!
  3. F

    Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

    Achana nao!Wivu tu unawasumbua!She cant do dat!Hata Diamond sio mkweli kwa kila kitu alichosema i guess!Ni kweli amebadilisha wanaume wengi kwa mda mfupi!But who is perfect kwa kila kitu?I mean dat should a weakness to her but inawezekana hajapata wa kumpenda!With dat said,plz muacheni mtoto wa...
  4. F

    Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

    Bila shaka una visasi tu mkuu!Haijulikani km kweli yeye ndo kamuuwa Kanumba!So dont put dat type of comment against her!Watafute kilicho muuwa jamaa sio tu kumretain huyo mtoto!Kanumba kuna kitu alikula au kunywa before he could fall down ndo maana akatoa povu mkuu!Vinginevyo tuache uchunguzi...
  5. F

    Utamaduni wa wahaya na kifo cha kanumba

    Kila kabila lina matatizo yake,i mean cons n prons!So dont be bias on 1 tribe mkuu!
  6. F

    Lulu: Sina bwana mchumba wala boyfriend

    Basi tuseme alienda kumuua de great Kanumba!RIP bro!
  7. F

    Mbona simuelewi Mwenyekiti Mbowe?

    Siyo mahali pake man!Soma alama za maeneo bro!Tatizo lenu wafuasi wa magamba u cant even copy n paste!Hata shule zenu za kuunga km za Mwanaisha!Kaulize kwanza au kasome for ya own benefits!
  8. F

    Kauli ya Nape Juu ya Arusha na Tafsiri Yangu

    Ama kweli Nape ana upungufu wa fikra!Au anajaribu kuwarubuni wenye akili finyo km zake!CCM iko madarakani takribani 50 yrz inakuwaje hayo aliyoyataja kwenye wall yake yakose kufanyika nchi nzima yafanyike arusha kisa inatawaliwa chadema?Kweli ni mjinga samahani kwa kusema hivi!Kifupi aelewe...
  9. F

    Swali gumu:Nani kuongoza kampeni za CCM Arusha mjini?

    Kikwete?Kweli hiyo ndoto ya mchana kweupe!
  10. F

    Bila CCM madhubuti upinzani imara nchi yetu itayumba...

    Kweli kidumu cha baba yake,mama yake na ukoo wake kwa ujumla na uache kutupostia ujinga bwaa shee!
  11. F

    shamrashamra arumeru-polisi wanakimbia wananchi

    Una elimu gani kaka?Maana naona uwezo wa kufikiri hakunaga!
  12. F

    CHADEMA kuchukua nchi ni baadae sana

    Kwani wao nikina nani mpaka wasing'olewe?Wajipange coz mpaka sasaivi tumeishajua ni mbinu zipi wanatumia kuiba kura ndo this time wamekosa pakupumulia kwa ulinzi wa kura wa umma!Jipange!
  13. F

    Nia ya Dhati ya Wanaharakati Kumshtaki Livingstone Lusinde kwa Child Abuse

    Ashitakiwe tu coz hayuko juu ya sheria ni kapuku wa fikra za mawazo kama wenzie!Together we can!
Back
Top Bottom