Mbona simuelewi Mwenyekiti Mbowe?

Hivi Mbowe kama mwenyekiti wa CHADEMA anahusishwa vipi na shughuli za kampuni?Please let us stop being ignorant!
 
Najua wengi mmenishambulia eti tu kwa kutaja jina la mtu, lakini jamani tambueni gazeti hili ndilo lilikibeba chama chetu cha CDM ktk uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, mfano jana fedha wamelipwa Correspont hali ya kuwa waajiriwa hatujalipwa, ndg zangu si ugomvi ila tambueni JF ni darasa tosha la haki za wanyonge. Mkurugenzi Mtendaji Mwenyewe Dk. Liliani Mbowe, ambaye ni mke wa mbowe hajakutana na wafanyakazi wake kwa miaka mitano je ni haki iko wapi kwetu sisi wanyonge?
 
Siyo mahali pake man!Soma alama za maeneo bro!Tatizo lenu wafuasi wa magamba u cant even copy n paste!Hata shule zenu za kuunga km za Mwanaisha!Kaulize kwanza au kasome for ya own benefits!
 
Wakati Chadema kupitia Mwenyekiti wa Taifa Freeman Mbowe, wamekuwa watetezi wa haki za wanyonge lakini cha kushangaza hadi sasa wafanyakazi wake wa Gazeti la Tanzania Daima, wanalia njaa ya kukosa mishahara, je hili ndg zangu ni haki kwa kiongozi mkubwa kama huyu ambaye ameaminiwa na Watanzania wengi kutokana na harakati zake?
Wamelipwa leo vipi una jingine.....
 
Mbona Uhuru na Mzalendo wanakosa mishahara pamoja na kuwa vinamilikiwa na taasisi kubwa ambayo inaongoza nchi?
 
mtahangaika sana na mbowe lakini mbowe anawazidi akili haongeki hata kidogo, ni mtu aliyeamua kupambana kiukweli.
mtajibeba mwaka huu
 
Wakati Chadema kupitia Mwenyekiti wa Taifa Freeman Mbowe, wamekuwa watetezi wa haki za wanyonge lakini cha kushangaza hadi sasa wafanyakazi wake wa Gazeti la Tanzania Daima, wanalia njaa ya kukosa mishahara, je hili ndg zangu ni haki kwa kiongozi mkubwa kama huyu ambaye ameaminiwa na Watanzania wengi kutokana na harakati zake?

Starehe zako za bange zinakuhusu we mwenyewe.
 
Wakati Chadema kupitia Mwenyekiti wa Taifa Freeman Mbowe, wamekuwa watetezi wa haki za wanyonge lakini cha kushangaza hadi sasa wafanyakazi wake wa Gazeti la Tanzania Daima, wanalia njaa ya kukosa mishahara, je hili ndg zangu ni haki kwa kiongozi mkubwa kama huyu ambaye ameaminiwa na Watanzania wengi kutokana na harakati zake?

kama wewe ni moja wapo acha kazi huna maana...
 
Mh. Mbowe hastahili kulaumiwa kwa hili kwa kuwa yeye ni Mkurugenzi na si Meneja au Mhasibu ambao ndio wanashughulikia maswala ya Mishahara, Nidhamu, utendaji kazi na mengineyo.
Jamani jaribu kupima jambo kwa darubini kali kabla ya kuandika.
 
sasa sisi huku inatuhusu nini,nenda high court labour division ukashitaki,paka mmoja wewe
 
Mleta mada umetumwa na mbumbu wa sheria ya makampuni(Company law). Mbowe siyo kampuni. kampuni ni mtu mwingine mbele ya sheria. Hao wafanyakazi waidai kampuni kupitia kwa principal officers au directors wa kampuni husika. Kwani matendo ya wakurugenzi wa kampuni wanapofanya kazi ex-officio ni matendo wa kampuni husika(According to Lord Denning: The acts of the directors are the acts of the company). Pia rejea kesi ya Simon Vs Simon& Co.Ltd. Hivyo Mbowe kama yeye hawajibuki kwa namna yoyote ile na makosa ya kampuni ambamo yeye ni share holder.
CCM ni wavivu wa kusoma sheria ndio maana wanategemea fedha kushinda kesi.
 
Back
Top Bottom