Recent content by farahanially

  1. farahanially

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Mm nataka kuongea na customer care leo ni siku ya nne nikipiga namba 100 naona maelezo mengi
  2. farahanially

    Sasa naanza kuonja matunda ya ufugaji samaki

    Hongera Mkuu mm nina eneo la futi nne kwa futi 30 je naweza kufuga samaki kwa ukubwa huo na wanaweza kuingia samaki wangapi sato
  3. farahanially

    Serikali kukataza wenye nyumba kukusanya kodi ya miezi 6, yasema inaumiza wengi

    Itapendeza zaidi na wakienda ktk shule vyuo pia tulipe kwa mwezi
  4. farahanially

    Wazee wa baraza wasema 'Lulu' ameua bila kukusudia, Jaji kutoa hukumu Novemba 13

    Wazee wakisema kaua bila kukusudia ni kuwa amehusika ktk mauaji kama alikuwa anajitetea, lakini kama mtu alikuwa anakukimbiza akaanguka akafa hapo unahusika vp kama umeua bila kukusudia
  5. farahanially

    Lulu na mama Steve leo kwenye kaburi la Stephen Kanumba

    Jamani tusifanye masihara kwenye masuala kama haya hebu vaa viatu vya huyo msichana lolote laweza kutokea usimcheke mtu huwezi jua kwako itakuwaje ni sawasawa kucheka kifo wakati wewe hujui kesho yako
  6. farahanially

    Prof. Kabudi apologise or resign for embarrassing the president and the country

    Tusikurupuke mbona watanzania wenzangu mmekuwa maadui kwa nchi yetu wenyewe, hata sisi tunaochangia bila kujua kinachoendelea sijui tunatoa wapi napata shida sijui ni elimu au ushabiki, Taarifa ni kuwa Serikalibya Tanzania haina mkataba na Acacia, Serikali ina mkataba na Barrick na ndio maana...
  7. farahanially

    Mwanzoni Wapinzani walisema tutapelekwa 'MIGA Court' kwa kuwapa deni ACACIA, sasa wanasema tunalipwa kidogo

    Jamani tuache kujibu kama hatujui tunajibu nn, hivi hata maana ya kusaini mkataba hatujui maana yake nn , hebu wa mfano mdogo tu wa uswahilini kwetu unapotaka kupangisha chumba mwenye nyumba na wewe mnasaini mkataba kabla hujahamia ina maana mshakubaliana hamuwezi kusaini mkataba halafu baadae...
  8. farahanially

    Je, Serikali imebadili Magari ya Wakuu wa Mikoa?

    Ina maana znz hatuna mwana jamii mwenzetu huko maana inaelekea hatuna kupashana habari, Mh Makonda alipoenda znz alipata mwaliko wa mkuu wa mkoa huko Unguja, kwahiyo hiyo gari alikuwa anaitumia na inaonekana alitayarishiwa na mwenyeji wake , kwahiyo ni vizuri tuka jiridhisha kwanza kabla...
  9. farahanially

    GSM inawadharau models wa Kitanzania? Why Zari?

    Tunapoandika vitu tujiridhishe kwanza ndio tutoe watu wasome, kama dunia ingekuwa hivyo watu wa nje hawachukuliwi ktk nchi nyingine kufanya matangazo au kazi basi dunia ingesimama na kila mtu angekaa ktk nchi yake, samatta yupo ubeligiji kwani hakuna wabeligiji wanaocheza mpira, flaviana yupo...
  10. farahanially

    Aisee mama diamond apunguze vijembe kwa hamisa hakuna aijuaye kesho.

    Kama mama Dangote na familia yake waliweza kwenda Hosptal usiku kumuona mtoto ina maana wanamkubali mtoto ila washauri wa Hamisa kutaka kumkomoa Diamond na kutoa mpaka picha za chumbani huku unapata mahitaji yote muhimu hata kama mm ni mzazi wa Diamond nitakuona ni mbaya tu , hapohapo badala ya...
  11. farahanially

    Sasa naanza kuonja matunda ya ufugaji samaki

    Mkuu kama sehemu ya futi 30x4 inaweza kuchukua samaki wangapi wa aina ya sato
  12. farahanially

    Sasa naanza kuonja matunda ya ufugaji samaki

    Mkuu mm nina sehemu ina urefu futi 30 na upana futi 4 je naweza kufuga samaki sato kwa kutumia hii sehemu
  13. farahanially

    Uzalishaji wa ACACIA wazidi kushuka, hisa nazo zaporomoka kwa 50%

    Kwangu mm sijaelewa hawa wazungu kwani hapa kwetu walikuja kusafirisha mchanga au kuchimba dhahabu haiingii akilini hisa zishuke kwa sababu ya uchafu waliokuwa wanausafirisha wakati dhahabu bado wanaendelea kuchimba na haijapigwa marufuku kwa mtazamo wangu makinikia yana faida kuliko dhahabu...
  14. farahanially

    Diamond Platnum Ashinda Tunzo Msanii Bora Wa Mwaka East Africa | Afrimma Awards 2017

    Naomba mwenye kujua anifahamishe , naona kama kuna mgomo wa Redio na Tv nina muda mrefu sijaona wakipiga kwenye Redio au kucheza kwenye Tv nyimbo za Diamond hasa Redio 3 name stesheni za Tv 3 sjiui kuna mgomo baridi au kuna tatizo gani mwenye ufahamu anijuze
Back
Top Bottom