SIERA
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,780
- 3,403
Na apo sio tz kama kuna anayebishi azoom picha kuna prado kwa mbele ina plate number ya right blue vitu edited hivyo
Ni Zanzibar alivyoenda kama hujui vitu uliza
Na apo sio tz kama kuna anayebishi azoom picha kuna prado kwa mbele ina plate number ya right blue vitu edited hivyo
Kashapata za zile za DC Mnyeti so ni lazima atetee kila hatua ya "kubana matumizi" ya mabwana zake.Umeielewa thread? Kuna sehemu nimekataa kutumia usafiri wa gari au nimehoji kutumia RC DSM kwenye gari hiyo? BTW ulishapataga ajira maana ulikuwa hukauki kule Jukwa la Kazi
Wazandiki wana kazi nzito sana awamu hii.Hiyo plate number imepachikwa na wazandiki.
Hapo inaonekana ni Zanzibar kwa hivyo vi vespa tu.Umeielewa thread? Kuna sehemu nimekataa kutumia usafiri wa gari au nimehoji kutumia RC DSM kwenye gari hiyo? BTW ulishapataga ajira maana ulikuwa hukauki kule Jukwa la Kazi
Yana mwisho....na mwisho wake huwa mbaya....subiri Sizo atoke pale kwa hiari au shari au kutwaliwa uone maisha yatavyo badilika.....from Vogue to Kalandinga.....! Time will tell
Msisumbuke na huyu kiumbe ataviacha vyote hivyo muda si mrefu. Siku hazigandi! Kila jambo halikosi kuwa na mwisho
More likely ni Zanzibar. Angalia plate number ya scooterNa apo sio tz kama kuna anayebishi azoom picha kuna prado kwa mbele ina plate number ya right blue vitu edited hivyo