biashara kama namba mbili zipo nyingi huku marekani na serikali ya bwana trum... inatoza kodi kubwa sana kwa makampuni kama haya ...... nina uhakika waliopo kwenye kampuni hizi na wafanya biashara wa kampuni namba mbili wanapata taabu sana kuelewa .....
. HAMNA LOLOTE NARUDIA TENA HAMNA...
kwa wale wenye insta fever kama mimi follower kupata ni rahisi kuliko maji jinsi ya kufanya we ingia kwenye account ya diamondplatnumz badili jina jiiite saidiplatnumz, au abdalahplatunmuz huwezi amin team wasafi ni wengi lazma watakufollow........ nashukuru lakini humu jf sijajua bado system...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.