Mh!! Una I'd ngapi ww?Yule sio mariooo maana hela alikuwa ananipa vizuri tuuu ..... nadhani hakuwa comfortable kuona nipo tu nyumban nasubir ajira!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh!! Una I'd ngapi ww?Yule sio mariooo maana hela alikuwa ananipa vizuri tuuu ..... nadhani hakuwa comfortable kuona nipo tu nyumban nasubir ajira!
Mh!! Una I'd ngapi ww?
Akutafutie kazi kukuacha sio uamuzi sahihi maisha hayapo hivyo anavyo yachukulia yeye kwamba kazi ndio msingi wakilakitu biashara pia inalipa
https://www.jamiiforums.com/threads/jinsi-ya-kutafsiri-ndoto-uliyoota.1002582/reply?quote=24187809Wakuu habari bila kuwapotezea muda kilicho nisibu ni hiki hapa baada ya miaka 15 ya ndoa nikiwa ni mtumishi idara ya elimu nimejikuta napata ajali kazini kwa kupunguzwa kazi katika sakata la vyeti feki, katika ndoa yetu tumejaliwa kupata watoto watatu.
Kilichonifanya niombe ushauri kwenu ni kwamba baada ya kupunguzwa kazi mwanaume amenikataa katakata kwa madai kwamba alioa mwalimu na si mama wa nyumbani.
.
Yeye ameshamwambia achague chochote anachotaka kwa hiyo kugawana siyo issue kabisa kwa mimi ninavyoonaNenda mahakamani ushauriwe jinsi ya kugawana mali
No labda hujaelewa hii post, aliyekosa Kazi ni mwanamke so mwanaume anamawengenya sababu huyo dada hana uwezo wa kifedha saa hii. Kwa mazingira haya wa kupisha ni huyo mume kama anaona huyo mama ni kikwazo yeye ahame halafu awaache kwenye nyumba familia na awaachie mali zitakazowafaa kuendesha maishaHapa hakuna haja ya kugawana kwa sababu aliyechoka ni mwanaume anapaswa aipishe familia hapa anapaswa awe na roho ngumu tuu mwanamke hajawahi shindwa kwa mwanaume
hahahahahahhaha nisamehe nimejikuta nacheka kwa nguvuAnacheti cha kuzaliwa tuu
karucee bhana, u seems to be positive on the man while I see him in a negative wayWhat he means is that you have to get busy.
Maisha yenyewe ya kukaa home kumtegemea mume yako wapi?
Get busy dear.
Sijaona tulipopishana mkuuNo labda hujaelewa hii post, aliyekosa Kazi ni mwanamke so mwanaume anamawengenya sababu huyo dada hana uwezo wa kifedha saa hii. Kwa mazingira haya wa kupisha ni huyo mume kama anaona huyo mama ni kikwazo yeye ahame halafu awaache kwenye nyumba familia na awaachie mali zitakazowafaa kuendesha maisha
karucee bhana, u seems to be positive on the man while I see him in a negative way
How can you even have the knowledge ya kuwa busy na small bzness if the so called Mume anakukandia na mineno ya ajabu? Ni ngumu kumsikia wa ndani wako anakukandamiza halafu uwe na amani ya kufikiria kitu za ziada.
Yaan mimi nampa pole mtoa mada ila ajiongeze tu kwa kweli hana mtu hapo
MAYBE i don't understand the topicHe never was like that.
Do you blame him having in mind the current financial situation?
Je ulimshirikisha tokea mwanzo kuhusu vyeti?.Wakuu,
Habari bila kuwapotezea muda kilicho nisibu ni hiki hapa baada ya miaka 15 ya ndoa nikiwa ni mtumishi idara ya elimu nimejikuta napata ajali kazini kwa kupunguzwa kazi katika sakata la vyeti feki, katika ndoa yetu tumejaliwa kupata watoto watatu.
Kilichonifanya niombe ushauri kwenu ni kwamba baada ya kupunguzwa kazi mwanaume amenikataa katakata kwa madai kwamba alioa mwalimu na si mama wa nyumbani.
Licha ya kuwashirikisha wazazi wa pande zote mbili lakini bado mume wangu ameendelea kushikiria msimamo wake kuwa yeye alioa mwalimu na si mama wa nyumbani.
Na anasisitiza kwamba nichague chochote ninachotaka niondoke nacho maana yeye hayupo tayari kuishi na mama wa nyumbani.
Mpaka sasa nipo njia panda, naombeni ushauri wenu wakuu.
Kumbe wewe hujawahi kuwa mwalimu ni muongo tu.Saving kwa TGS ipi mkuu?