Recent content by faizah

  1. faizah

    Tukumbushane watu wa Tabora-Mboka Manyema

    [QUOTnimepata taarifa humu kuwa mwl.Getaback ni marwhemu mi nimemaliza 1984 lakini hao waalimu wote wamenifundisha waaw kumbe ni mtoto wa mwl Shigela duh pia mwl msha alikuwa mwl.wa siaa mwembamba huyo sijui alinenepa baadae E=blueivvy;6141720]Umenikumbusha mwalimu chiboni ndiye aliyenifundisha...
  2. faizah

    Tukumbushane watu wa Tabora-Mboka Manyema

    R.I.P Getaback sikuwa na habari masikini alinifundisha na pia ndie alikuwa headmaster wakati nasoma Ahsante mkuu kwa kunijuza
  3. faizah

    Tukumbushane watu wa Tabora-Mboka Manyema

    Shule nilianzia chemchem duuh ikifika saa nne mbio simbamwene kwenye maembe nilipofika la tatu baba akanihamishia mwenge mazoezi mbona utoro uliisha maana nidhamu, walimu walikuwa wanafundisha vizuri, usafi ole wako uende bila kuoga unaogeshwa Shule, usipovaa soksi fimbo, kulikuwa na mwl...
  4. faizah

    Tukumbushane watu wa Tabora-Mboka Manyema

    Dah ukienda utapotea nilienda 2008 sikujua nianzie wapi ikabidi nimuulize tax driver kwa vile baba yangu maarufu sana Tabora ndio nikapelekwa
  5. faizah

    Tukumbushane watu wa Tabora-Mboka Manyema

    mi pia sijaenda muda lakini kama ulikuwa unajua mbuga ya simbamwene kulikuwa na miembe ya kufa mtu sasa hivi ndio inaitwa ali hassani Mwinyi Yaani mji mpya umekuwa huko
  6. faizah

    Tukumbushane watu wa Tabora-Mboka Manyema

    dah enzi za hamisi ma mbwa, jambazi maarufu enzi zile akauwawa na aziz mwarabu, hahaa namkumbuka chizi mmoja alikuwa anaitwa mwajuma ringa, alikuwa soko kuu Tabora, ukienda disco na demu mzuri basi uwe na cha moto la sivyo utahadithia hadi wajukuu, diamond talks ndio ilikuwa jumba pekee la...
  7. faizah

    Kibonde clouds fm kuwa mzalendo pia serikali iwe makini na matangazo kama haya

    zama za kupanga foleni hakuna chakula,mavazi, watu wakiwemo jeshi wakataka kumpindua baada ya hali kuwa mbaya ukiwa na kativii tu utoe maelezo, ole wako upite unanukia kusachiwa na polisi ilikuwa kawaida sana, ile ilikuwa ni zaidi ya vita
  8. faizah

    Kibonde clouds fm kuwa mzalendo pia serikali iwe makini na matangazo kama haya

    ni kweli unajua wtz hatupendi ukweli lakini waliokuwepo miaka ya 80 ya watu kuvaa sanda wangali hai wanaujua ukweli
  9. faizah

    Mnawakumbuka watuma salamu maarufu redioni wa enzi hizo? Tujikumbushe kwa kuwataja...

    shangazi wa kitope znz steven mahumi shida kilangiro mzee wa vilonga longa mzee mahumba baba ubaya
  10. faizah

    Ratiba ya maziko ya mama yetumpendwa..mama pdidy kesho saa nane

    Haa anastahili kupewa maneno haya kweli?
  11. faizah

    Hongera Mzee Aboud Jumbe kutimiza miaka 92 [Happy Birthday]

    Hongera sana ongezea kuwa aliwahi kuwa mwenyekiti wa WORLD MUSLIM CONGRESS 1998
  12. faizah

    Ratiba ya maziko ya mama yetumpendwa..mama pdidy kesho saa nane

    Pole sana mpendwa mungu akupe nguvu na subira ktk kipindi hiki kigumu, mauti ni glass sote tutainywea
  13. faizah

    tigo mmezidi jamani

    Sasa hii too much hadi salio duh, Juzi asubuhi nilikuwa na 2000 kwenye simu ghafla nikaona net imepotea kutazama salio nakuta zero sikupiga simu wala sms na sijakopa nimelalamika tangu Juzi mpaka leo naambiwa tatizo linashughulikiwa mpaka lini Mnaboa
  14. faizah

    Kama hujafanya haya wewe haujakaa uswazi. (uswahilini)

    Mchezo wa baba na mama siku nikichaguliwa kuwa mtoto mtoto nagoma nilikuwa siipendi kutumwa
  15. faizah

    Maghembe Azua Kizaa zaaa!

    Mh makubwa sasa tumuamini nani? napita Jamani
Back
Top Bottom