hata mwezi haujapita toka nmetukanana na customer care kwa the same case ya faiza.eti walinijibu simu yngu ndio inaiba hela.watanzania baadhi tumelishwa unga wa ndele na hawa jamaa ndio maana tumekua km mabwege vle.ila naamini wanajiandalia kabuli wenyewe.halafu utadhan maskioni wametia mawe coz hawaskii kabisa vilio vya wateja wao.km mmeshindwa acheni bana.
sasa hivi nna salio sh 84 inakataa kupiga simu wanasema niongeze salio
Hamieni Airtel....
sasa hivi nna salio sh 84 inakataa kupiga simu wanasema niongeze salio
Sasa hii too much hadi salio duh, Juzi asubuhi nilikuwa na 2000 kwenye simu ghafla nikaona net imepotea kutazama salio nakuta zero sikupiga simu wala sms na sijakopa nimelalamika tangu Juzi mpaka leo naambiwa tatizo linashughulikiwa mpaka lini Mnaboa