Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Ndugu zanguni
atuna budi kuishi kama wasio na matumaini na kuamini mungu ndie alimleta na ndie alieamua kumchukua ni vigumu kuamini na sikuwahi kuhisi hili ila furaha ilioje ni kwamba mama yangu mpenda amekufa katika bwana saa tano usiku, saa mbili akaomba wachungaji akiwa na nguvu za kuongea..walipokuja akaomba mchungaji awabariki manesi wanaomtibu then akaongoza sala ya toba alipomaliza nikiwa nyuma yake akasema yesu unipokee akaomba nimpumzishe alale..nikiwa nimeendelea kumshika sikujua kumbe ameshakufa nikiwa namweka sawa niende nyumban nikagundua utukufu wa mungu umeshatimizwa
ahsanten kwa maombi yenu kibinadamu ni ngumu lakini mungu ndie mweza yote
msiba uko kimara bucha ukifika upande wa kulia ..tunaaaga kesho saa nane mchana tunaenda kuzika makaburi ya mbweni...for more info 0713 45 87 22
bwana akubariki wewe ulietumia muda wako kutuombea familia ni vigumu kushukuru lakini mungu akujalie pale palipopungua
atuna budi kuishi kama wasio na matumaini na kuamini mungu ndie alimleta na ndie alieamua kumchukua ni vigumu kuamini na sikuwahi kuhisi hili ila furaha ilioje ni kwamba mama yangu mpenda amekufa katika bwana saa tano usiku, saa mbili akaomba wachungaji akiwa na nguvu za kuongea..walipokuja akaomba mchungaji awabariki manesi wanaomtibu then akaongoza sala ya toba alipomaliza nikiwa nyuma yake akasema yesu unipokee akaomba nimpumzishe alale..nikiwa nimeendelea kumshika sikujua kumbe ameshakufa nikiwa namweka sawa niende nyumban nikagundua utukufu wa mungu umeshatimizwa
ahsanten kwa maombi yenu kibinadamu ni ngumu lakini mungu ndie mweza yote
msiba uko kimara bucha ukifika upande wa kulia ..tunaaaga kesho saa nane mchana tunaenda kuzika makaburi ya mbweni...for more info 0713 45 87 22
bwana akubariki wewe ulietumia muda wako kutuombea familia ni vigumu kushukuru lakini mungu akujalie pale palipopungua