Recent content by FaizaFoxy

  1. FaizaFoxy

    Familia ya Hayati Magufuli: Tumeacha muda ujibu, hatutajibu mtu yeyote

    Duh, siamini kabisa kuwa utumbo huo ni kutoka ukoo wa Magufuli. Too low.
  2. FaizaFoxy

    Ubaguzi ninaoupata Zanzibar, wakija Dar nitawapa haki yao

    Uongo mtupu. Wangekua wabaguzi kina Jumbe na Mwinyi wasingekua Marais huko.
  3. FaizaFoxy

    Zanzibar ndiyo waliotoa Mtaji kuanzisha BOT. Sasa wanataka fungu lao

    Soma post #1. Huwa mnadandia gari kwa mbele. Hata mada huielewi inahusu nini.
  4. FaizaFoxy

    Zanzibar ndiyo waliotoa Mtaji kuanzisha BOT. Sasa wanataka fungu lao

    Lipa deni lao, wacha porojo.
  5. FaizaFoxy

    Zanzibar ndiyo waliotoa Mtaji kuanzisha BOT. Sasa wanataka fungu lao

    Hata tukowachana na muungano, deni la Zanzibar lazima lilipwe.
  6. FaizaFoxy

    TANESCO: Umeme tunaozalisha ni mwingi mahitaji ni madogo nchi nzima, hakuna mgawo kwa sasa

    Kuzalisha umeme kwa wingi hakunmaanishi kuwa kuna sehemu hazitozimwa umeme. Kwa jinsi tulivyo wajinga umeme utazimwa tu.
  7. FaizaFoxy

    TANESCO: Umeme tunaozalisha ni mwingi mahitaji ni madogo nchi nzima, hakuna mgawo kwa sasa

    Kwako kukosa umeme haimaanishi kuna mgao wa umeme, pengine hujanunuwa LUKU.
  8. FaizaFoxy

    TANESCO: Umeme tunaozalisha ni mwingi mahitaji ni madogo nchi nzima, hakuna mgawo kwa sasa

    Kuna qatu hawaamini wakisomachi. Cheza na mama wewe? Anafanya mambo yake bila kujimwambafai, kimya kimya, kama siyo yeye vile.
  9. FaizaFoxy

    Angalia Treni za umeme zilivyolala hapa nchini China. Sisi tuna miliki nyoka wangapi?

    Siyo jweli, hatujawahi kuwa na uchumi mmoja na China. Aliyekwambia kakudanganya.
  10. FaizaFoxy

    Angalia Treni za umeme zilivyolala hapa nchini China. Sisi tuna miliki nyoka wangapi?

    Labda hizo unazoelezea ni "direct taxation" ukweli ni kuwa hakuna Mtanzania asiyelipa kodi "indirectly".
  11. FaizaFoxy

    Angalia Treni za umeme zilivyolala hapa nchini China. Sisi tuna miliki nyoka wangapi?

    Watanzania tu wajinga wa kutupwa. Tumeshindwa kuendesha hata mabasi ya mjini jwa ufanisi, tutaweza kuendesha reni kiufanisi? .kwanza tukubali tu wajinga halafu tuchaguwe vipaumbele vyetu.
  12. FaizaFoxy

    Yanga yaweka Bango tena baada ya kuwafunga Simba 7-2 kwa msimu 2023/2024

    Kwa kukujuza tu, mimi sio Yanga wala sio Simba Mimi team yangu inaitwa cosmopolitan. Ipo mtaa wa Sikukuu na Mkunguni, Kariakoo jijini Dar. Sasa katafute maana ya "Cosmopolitan" utanielewa.
  13. FaizaFoxy

    BAKITA mtatuua ni hiki Kiswahili chenu mnachokiita "Fasaha"

    Bakita wapo katika mkakati wa kuuua asili ya Kiswahili. .hicho siyo Kiswahili "fasaha" kama wanavyodai. Ni ujinga mtupu. Mfano charger iitwe "chaja" tu Kiswahili.
Back
Top Bottom