Watanzania tu wajinga wa kutupwa.
Tumeshindwa kuendesha hata mabasi ya mjini jwa ufanisi, tutaweza kuendesha reni kiufanisi?
.kwanza tukubali tu wajinga halafu tuchaguwe vipaumbele vyetu.
Kwa kukujuza tu, mimi sio Yanga wala sio Simba
Mimi team yangu inaitwa cosmopolitan. Ipo mtaa wa Sikukuu na Mkunguni, Kariakoo jijini Dar.
Sasa katafute maana ya "Cosmopolitan" utanielewa.
Bakita wapo katika mkakati wa kuuua asili ya Kiswahili.
.hicho siyo Kiswahili "fasaha" kama wanavyodai. Ni ujinga mtupu.
Mfano charger iitwe "chaja" tu Kiswahili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.