Duu!!! Wanaume ni wabinafi sana kwani Mimi nalea watoto 3 wa mwenzangu na wanatabia za ajabu mfano wananiibia nguo, ela na kuwapelekea mama Zhao then kibaya zaidi huyo mwanaume anawasiliana na mke aliyezaa naye. Nikimuuliza ananijibu eti wanawasiliana kwa ajili ya watoto. Imenichosha sana na...
Jamani mtandao wenu siuelewi ata kidogo, nikijiunga kwenye kifurushi then nikiitaji kuconnet kwenye internet inaonekana ipo lakini haiconnect ata kidogo na kifurushi kinakwisha sijui ni kwanini.
Kama mnaelewana na kusikilizana muache ajifungue kwanza ndo uende kwao. Nakupa hongela ya kujibiidisha kwa hilo kwani mwenzio nimeishi na mwanaume yapata miaka 6 Lila nikimwambia aende nyumbani nazua ugomvi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.