Recent content by Faithyess

  1. F

    Sio kila Mhaya ana dharau

    Shit, napita 2 ila naomba kujua aliyeleta mada ni kabila gani na wachangiaji wengine wamekosa maadili.
  2. F

    Kifo cha kusikitisha Mbeya: Mke na Mume wakutwa wamekufa ndani ya nyumba yao

    Mbeya matukio ya aina hiyo yamekidhili, wanaume kuwaua wake zao. Jamani mkishindwana bora muachane.
  3. F

    At the end fahari ya mwanamke ni mwanaume

    Umetisha ndugu, nimekukubali big up
  4. F

    jinsi ya kupunguza kitambi

    Nikutafute kwa njia ipi ndugu cool d?
  5. F

    Flora Mbasha ajifungua, nani baba wa mtoto?

    Ndoa imeishakuwa ndoano, Mchungaji????? Unajiaibisha.
  6. F

    Sijasikitika, nimefurahi sana

    Inauma mwana dada kwa kuingilia mausiano ya watu. Pole.
  7. F

    Kwa nini wanaume hamtukubali na watoto

    Duu!!! Wanaume ni wabinafi sana kwani Mimi nalea watoto 3 wa mwenzangu na wanatabia za ajabu mfano wananiibia nguo, ela na kuwapelekea mama Zhao then kibaya zaidi huyo mwanaume anawasiliana na mke aliyezaa naye. Nikimuuliza ananijibu eti wanawasiliana kwa ajili ya watoto. Imenichosha sana na...
  8. F

    Binti (Mwanafunzi wa Chuo) auliwa na maiti kufichwa

    Ninaamini malipo na hapa duniani na ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga. Mungu aiweke roho ya marehemu panapositahili. Amina
  9. F

    Vigezo vya kujiunga na Vyuo vya Kati (Colleges) kwa ngazi za Cheti na Diploma

    Msaada wa kujua namna ya kupata form ya kujiunga na chuo cha uwaziri Tabora. Na ni wakati gani naweza kutuma maombi yangu.
  10. F

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Jamani mtandao wenu siuelewi ata kidogo, nikijiunga kwenye kifurushi then nikiitaji kuconnet kwenye internet inaonekana ipo lakini haiconnect ata kidogo na kifurushi kinakwisha sijui ni kwanini.
  11. F

    Bukoba sirudi tena ng'o

    Nyumbani ni nyumbani acha tujigambe Bukoba ndo kwetu acha hizo dogo.
  12. F

    Ana ujauzito miezi sita yupo kwangu bado sijaenda kwao

    Kama mnaelewana na kusikilizana muache ajifungue kwanza ndo uende kwao. Nakupa hongela ya kujibiidisha kwa hilo kwani mwenzio nimeishi na mwanaume yapata miaka 6 Lila nikimwambia aende nyumbani nazua ugomvi.
Back
Top Bottom