Binafsi nampongeza mtatiro, hiyo ndo njia pekee ya kupambana na wahujumu wa chama. Hata ww ukiamia nyumba mpya lazma ufanye mabadiliko fulani ikiwemo kuondoa vitu visivyo faa na kuweka vilivyo bora zaidi. Binafsi namuona Mh. Mtatiro kama kiongozi mashuhuri sana na atakae fika mbali kisiasa na...
Jaman me nataka niulize, kwan Mh. Mbowe ni nan katika chama, yule ni kiongozi wa juu na kama nafasi yake yeye ananafasi kubwa ya kubeba maono ya chama na kua na msimamo binafsi kama mbeba maono wa chama aliye chaguliwa kikatiba. Kama hamridhiki nae subirini uchaguzi ujao mumchague mwingine...
Dah, sijui tunapo elekea Tanzania yetu ni wapi jaman. Sioni mwanga mbele, naona giza na ombwe la uongozi usio na utashi wa kiungozi. Maskini mama Tanzania, kwann kila cku ww tu. KWELI NG`OMBE WA MASKINI HAZAI.!!
Ndg yng umepoteza mda wako kuandika makala ndeefu mpaka na vfungu umejitahdi kuweka ila ni out of concept. Nakushauri upitie upya adhma ya CDM juu ya UKUTA then uandike
Nashukuru coz umegundua kwann vijana wengi wanamuelewa na kumsapot katka kila jambo Comrade Mbowe despite of his weaknesses kua hawana elimu wala ajira na hayo yote yamesababishwa na nan kama siyo hao maficiemu yako unayo jaribu kuwapgia debe hapa, alaf kuhusu unafki kuna mtu mafki na aliye na...
[emoji15] [emoji15] , itakuaje akipgiwa kura ya apana.. na kama ni hvyo, kwnn wanashnikiza kua UCHWAR* lazma apwe uenyekiti na mbali zaidi wana toa vitisho kwa wajumbe wasio mtaka na kuwaita wahujumu.!? Nijibu plzz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.