CCM acheni utapeli kupitia TV, inatia kinyaa

CCM acheni utapeli kupitia TV, inatia kinyaa

Tatizo lao uchaguzi kwao no tendo wanalolifanyaga kwa kulazimishwa tu. Hawapendi kabisa uchaguzi hawa viumbe

Lowassa alishindanishwa na nani kupata nafasi ya kugombea urais ndani ya CHADOMO na ukawa?
 
Tangazo la CCM katika maTV la kuwaalika wajumbe wa Mkutano Mkuu mjini Dodoma linawataka kwamba July 23 ni siku ya kumuaga Dr.Jakaya Kikwete na kumchagua mwenyekiti mtarajiwa Dr.Magufuli kuwa mwenyekiti wa CCM.

Halafu linaongeza kuwa ‘‘njoo Dodoma tuimarishe Demokrasia’’

MAONI YANGU

Huu ni utapeli wa wazi wazi. Magufuli haendi kuchaguliwa, anakwenda kukabidhiwa chama. Uchaguzi ni ushindani, tuambieni anakwenda kushindana na nani. Ni lini fomu za kugombea uenyekiti zilitolewa

Hata kama shetani anapenda watu waongo lakini kwa uongo huu wa CCM hata shetani atashituka. Kwamba CCM inawaalika wajumbe waje Dodoma kuimarisha Demokrasia??? Demokrasia ya kukiuka katiba inayotaka mwenyekiti kuchaguliwa nyinyi mnaenda kukabidhi?
Unashindwa kuwa mkweli nikusahihishe bratha " i hate ccm i hate magufuli and i hate what they will bring vry simple"
Povu la nini! Mbona upande wa pili lini mara ya mwisho mmefanya uchaguzi? Kwa katiba ipi iliyompa nafasi MR NYEUPE kuwa KIONGOZI MKUU WA GENGE LENU? Sasa hivi Mzee wa kubadilishia GIA ANGANI anahaha! anajuta kumfahamu NYEUPE!
 
Tangazo la CCM katika maTV la kuwaalika wajumbe wa Mkutano Mkuu mjini Dodoma linawataka kwamba July 23 ni siku ya kumuaga Dr.Jakaya Kikwete na kumchagua mwenyekiti mtarajiwa Dr.Magufuli kuwa mwenyekiti wa CCM.

Halafu linaongeza kuwa ‘‘njoo Dodoma tuimarishe Demokrasia’’

MAONI YANGU

Huu ni utapeli wa wazi wazi. Magufuli haendi kuchaguliwa, anakwenda kukabidhiwa chama. Uchaguzi ni ushindani, tuambieni anakwenda kushindana na nani. Ni lini fomu za kugombea uenyekiti zilitolewa

Hata kama shetani anapenda watu waongo lakini kwa uongo huu wa CCM hata shetani atashituka. Kwamba CCM inawaalika wajumbe waje Dodoma kuimarisha Demokrasia??? Demokrasia ya kukiuka katiba inayotaka mwenyekiti kuchaguliwa nyinyi mnaenda kukabidhi?
Kwani haswa wewe tatizo lako nini mpaka unakaukwa na mate,utapata kichomi bure,tuache na mambo yetu mkuu subirini kupokea mafisadi
 
Mbowe ataachia lini uenyekiti mdau...unaonekana unatokwa povu wakati boss wako toka nazaliwa nmsikia yey tui
 
Sio vyema kuingilia Demikrasia yetu tunaenda kukabidhi chama kwa JPM kama utamaduni wetu ulivyo na sio lazima katiba iseme hivyo. Utamaduni unakubalika katika kuamua mambo.
Umenena vema kabisa, kweli ni utamaduni kama ilivyokuwa enzi ya Nyerere kugpmbea urais na kivuli. Ulichokosea hapo ni hilo neno DEMIKRASIA tu, mengine yote sawa kabisa mkuu!!
 
Sio vyema kuingilia Demikrasia yetu tunaenda kukabidhi chama kwa JPM kama utamaduni wetu ulivyo na sio lazima katiba iseme hivyo. Utamaduni unakubalika katika kuamua mambo.
Hapana kuna tatizo kubwa ndani ya CCM. Watu ni waoga kupita kiasi. Chama makini hakiwezi kukiuka katiba kwa kisingizio cha utamaduni wetu. Katiba ni moyo wa taasisi yoyote inayoongozwa na Katiba. Huwezi kusema unamkabidhi mtu Chama bila kutoa haki kwa wanachama wengine wenye uwezo wa kukiongoza Chama nao kuomba ridhaa hiyo.
CCM ingewapa nafasi hiyo wanachama wake na akakosekana mgombea mwingine zaidi ya Mheshimiwa Magufuli ningeelewa.
Kwa nini katika ngazi za chini tunachaguana kama kawaida na ikifikia ngazi ya Kitaifa kinaibuka hiki kinachoitwa utamaduni?
Mi nasema hili ni bomu ambalo siku likilipuka litaigharimu hadi Nchi yetu pendwa.
Tusubiri.
 
Tangazo la CCM katika maTV la kuwaalika wajumbe wa Mkutano Mkuu mjini Dodoma linawataka kwamba July 23 ni siku ya kumuaga Dr.Jakaya Kikwete na kumchagua mwenyekiti mtarajiwa Dr.Magufuli kuwa mwenyekiti wa CCM.

Halafu linaongeza kuwa ‘‘njoo Dodoma tuimarishe Demokrasia’’

MAONI YANGU

Huu ni utapeli wa wazi wazi. Magufuli haendi kuchaguliwa, anakwenda kukabidhiwa chama. Uchaguzi ni ushindani, tuambieni anakwenda kushindana na nani. Ni lini fomu za kugombea uenyekiti zilitolewa

Hata kama shetani anapenda watu waongo lakini kwa uongo huu wa CCM hata shetani atashituka. Kwamba CCM inawaalika wajumbe waje Dodoma kuimarisha Demokrasia??? Demokrasia ya kukiuka katiba inayotaka mwenyekiti kuchaguliwa nyinyi mnaenda kukabidhi?
JPM alishachaguliwa uenyekiti wa ccm tangu siku alipowagalagaza wagombe wote wa ccm july 2015 wakati aliposhinda ticket ya kuwakilisha chama hicho uchaguzi mkuu uliopita. Alijihakikishia zaidi baada ya kushinda urais wa JMT. Kinachoenda kufanyika DOM ni kuunda timu yake ya sekretatieti ya chama basi. CCM kila baada ya miaka 10 m/kiti mpya. Vyama vingine wenyeviti wao ni wa kudumu. Linganisheni kabla ya kuanzisha upupu.
 
Tangazo la CCM katika maTV la kuwaalika wajumbe wa Mkutano Mkuu mjini Dodoma linawataka kwamba July 23 ni siku ya kumuaga Dr.Jakaya Kikwete na kumchagua mwenyekiti mtarajiwa Dr.Magufuli kuwa mwenyekiti wa CCM.

Halafu linaongeza kuwa ‘‘njoo Dodoma tuimarishe Demokrasia’’

MAONI YANGU

Huu ni utapeli wa wazi wazi. Magufuli haendi kuchaguliwa, anakwenda kukabidhiwa chama. Uchaguzi ni ushindani, tuambieni anakwenda kushindana na nani. Ni lini fomu za kugombea uenyekiti zilitolewa

Hata kama shetani anapenda watu waongo lakini kwa uongo huu wa CCM hata shetani atashituka. Kwamba CCM inawaalika wajumbe waje Dodoma kuimarisha Demokrasia??? Demokrasia ya kukiuka katiba inayotaka mwenyekiti kuchaguliwa nyinyi mnaenda kukabidhi?
Hili swali lako zuri sana, ungewauliza Chadema siku wanabadili gia angani na kuuza chama.


Hiyo siku waliochukua fomu kugombea urais walikuwa Wa ngapi??
 
Hawa jamaa wanajinga kwa maneno yao, wanatumia garama kuubwaa kumpa mtu cheo ambao angeweza pewa kwa muda wa nusu saa tu bila hata kujaza wanafiki kwenye ukumbi wao, teh! eti wanakwenda kumchagua magufuli hata zombie hadanganyiki.
 
Tangazo la CCM katika maTV la kuwaalika wajumbe wa Mkutano Mkuu mjini Dodoma linawataka kwamba July 23 ni siku ya kumuaga Dr.Jakaya Kikwete na kumchagua mwenyekiti mtarajiwa Dr.Magufuli kuwa mwenyekiti wa CCM.

Halafu linaongeza kuwa ‘‘njoo Dodoma tuimarishe Demokrasia’’

MAONI YANGU

Huu ni utapeli wa wazi wazi. Magufuli haendi kuchaguliwa, anakwenda kukabidhiwa chama. Uchaguzi ni ushindani, tuambieni anakwenda kushindana na nani. Ni lini fomu za kugombea uenyekiti zilitolewa

Hata kama shetani anapenda watu waongo lakini kwa uongo huu wa CCM hata shetani atashituka. Kwamba CCM inawaalika wajumbe waje Dodoma kuimarisha Demokrasia??? Demokrasia ya kukiuka katiba inayotaka mwenyekiti kuchaguliwa nyinyi mnaenda kukabidhi?
na wewe siku mwenyekiti wako wa ufipa akabidhi chama tuone..
 
Tangazo la CCM katika maTV la kuwaalika wajumbe wa Mkutano Mkuu mjini Dodoma linawataka kwamba July 23 ni siku ya kumuaga Dr.Jakaya Kikwete na kumchagua mwenyekiti mtarajiwa Dr.Magufuli kuwa mwenyekiti wa CCM.

Halafu linaongeza kuwa ‘‘njoo Dodoma tuimarishe Demokrasia’’

MAONI YANGU

Huu ni utapeli wa wazi wazi. Magufuli haendi kuchaguliwa, anakwenda kukabidhiwa chama. Uchaguzi ni ushindani, tuambieni anakwenda kushindana na nani. Ni lini fomu za kugombea uenyekiti zilitolewa

Hata kama shetani anapenda watu waongo lakini kwa uongo huu wa CCM hata shetani atashituka. Kwamba CCM inawaalika wajumbe waje Dodoma kuimarisha Demokrasia??? Demokrasia ya kukiuka katiba inayotaka mwenyekiti kuchaguliwa nyinyi mnaenda kukabidhi?
CCM ni ulaghai na ulaghai ni CCM. Utapeli ni kawaida yao. Ndiyo fahari yao.
 
Mzee naona umeamua kuonyesha chuki zako waziwazi, nina wasiwasi hujui kinachoenda kufanyika Dodoma! Anyways simple tuu Magufuli anaenda kupigiwa kura ya ndio au hapana na kuonyesha ukomavu wakisiasa na demokrasia JK anaenda kuachia kiti bila shurutii
Cha msingi katiba ya ccm ibadilishwe na itamke waziwazi kwa atakayechaguliwa kuwa Rais toka ccm ndiye mwenyekiti wa taifa wa chama kuliko kutumia pesa nyingi kwenda kushuhudia watu wakikabidhiana uongozi.
 
Tatizo lao uchaguzi kwao no tendo wanalolifanyaga kwa kulazimishwa tu. Hawapendi kabisa uchaguzi hawa viumbe
[emoji113] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Mzee naona umeamua kuonyesha chuki zako waziwazi, nina wasiwasi hujui kinachoenda kufanyika Dodoma! Anyways simple tuu Magufuli anaenda kupigiwa kura ya ndio au hapana na kuonyesha ukomavu wakisiasa na demokrasia JK anaenda kuachia kiti bila shurutii
Ccm wach...... Tu
 
Hivi mzee Lowasa alishindanishwa na nani kupeperusha bendera ya CDM na hatimaye UKAWA kuwania uraisi wa nchi?

Toa boriti ndipo umuonyeahe mwenzako kibanzi jichoni.
 
Kuna watu wanaacha kutoa boriti kwenye macho yao wanaangalia wengine! si bora yeye anayekwenda kukabidhiwa, mbona wengine hata kukabidhi kwa mtu mwingine hawataki tokea chama chao kimeanza? tena ukionyesha nia ya kuwa Mwenyekiti unaitwa msaliti mara Yuda Iskarioti. Hebu waacheni CCM na mambo yao shughulikieni ya kwenu. Unapata Kinyaa, si utapike
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom