Recent content by fagix

  1. fagix

    Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu

    Kaka unajua wengi wameahamia ulikole, je unajua wangapi wamejiunga na roman Catholic kutoka ulokole? Tuache ufala hii sio Mali ya msonga gang ni Mali ya tz
  2. fagix

    Mwanafunzi aliyekuwa anasoma EGM akapata EEF anaweza kusoma diploma?

    Diploma nadhani angalau uwe na principal pass moja sasa hapo sijui kama ataenda. Ila kurudia ndio tena hata domo moja inawezekana. Kubadi comb itambidi asome upya
  3. fagix

    Kuhusu Semina za Walimu wa Sayansi, Hesabu (Sekondari)

    Kwenye hizo seminar hakuna kitu kipya ni kwenda kujadiliana tu vitu basi
  4. fagix

    Kuhusu Semina za Walimu wa Sayansi, Hesabu (Sekondari)

    Posho ni kulingana na ngazi ya mshara wapi wanaolipwa Hadi 800
  5. fagix

    Nimetongozwa na binti wa kimbulu hadi natetemeka

    Sasa kama hujui hnaweza tongozwa na familia nzima, wambulu ni kuku wa kizungu hao
  6. fagix

    Nape, wakati unafurahi wenzio walikuwa wakilia

    Mara paaah uncle ni mkuu wa malaika aisee Kuna wafu wataomba Pooh. Anyways, safari njema
  7. fagix

    Mfumo wa ajira kwa walimu uwe kama ifutavyo

    Mimi wananikata mkopo wao wa chuo, ili nimalize huo mkopo lazima miaka kumi ikate, hapo bado tax, nhif, pssf na cwt, take home unakuta hata 600k haifiki hapo una familia. Ushauri wangu dog soma kama ni bahati yako ajira utapata tu.
  8. fagix

    Chadema nini msimamo wenu kwenye suala la kukopa?

    Hakuna mkopo mzuri hizo ni kauli za kijinga tu
  9. fagix

    Chadema nini msimamo wenu kwenye suala la kukopa?

    Alikopa kiasi gani ?
  10. fagix

    Apostle Dkt. Boniface Mwamposa avunja rekodi zote Uwanja wa Mkapa, asema kwa Mungu hakuna mashindano

    Kwa Nini tusipeleke muhimbili akaponye ndugu zetu wanao teseka na ukimwi?
  11. fagix

    Physics and mathematics

    Nikuambia tu furusa haimfuati mtu, inatafutwa. Over
Back
Top Bottom