Chadema nini msimamo wenu kwenye suala la kukopa?

Chadema nini msimamo wenu kwenye suala la kukopa?

JPM alipokuwa anasisitiza kupunguza utegemezi wa mikopo kwajili ya maendeleo ya nchi, Chadema walipinga sana na kusisitiza kuwa lazima tukope.

Leo mama anakopa hadi ela ya kununua chumvi mnaona hiyo haifai, sasa mmesimama kumshangilia Ruto anapoongea kauli ileile aliyoongea JPM.

Tupeni msimamo wa chadema kuhusu kukopa maana siku hazigandi maybe baadae mnawezakamata nchi je mtafanya nini katika agenda ya ukopaji?
View attachment 2471740


Chadema hawana shida na kukopa, walishaweka wazi wakishinda uchaguzi wataenda kuchukua pesa ya kuendesha nchi ulaya, Asia na America
 
Sasa kama hujui unapata wapi uhalali wa kusema kodi haikisanywi?
We unataka kujua au kubishana?

Vilio vya matajiri Awamu ya 5, ndo uthibitisho kuwa Magu alikusanya KODI.

Uhalisia wa data siezi hangaika nao sababu CCM kudanganya umma walishazoea.

Umeelewa?
 
Sijui ni mtu mjinga kiasi gani anayeamini kuwa Magufuli hakukopa
Ni rais aliyekopa zaidi ndani ya miaka 5 kuliko Kikwete na Mkapa walivyokopa kwa miaka 10
Huyo atakuwa ni msukuma sababu wasukuma walio wengi awaamin kuwa magu alikopa
 
Mwl NYERERE said: Serikali dhalimu duniani kote hazikusanyi Kodi Kwa matajiri,

Hukimbizana na wachuuzi wa mabarabarani Kila kukicha.

Magu alishughulika na matajiri waliomiliki Uchumi Kwa kukwepa KODI.

Nakumbuka Kuna muda Vituo vya mafuta matajiri waliungana Ili kugomea EFD, alimwambia wazifunge, BAADAYE wakaufyata.

Abarikiwe huko aliko.
Swali alikopa akukopa je huyo mfu wa muitongo alikopa hakukopa?
 
DEMOCRACY in most cases ni DEMON CRASIE au Uhuru wa KIPEPO.

CHADEMA watuambie mapema ikiwa USHOGA pia ni Democrasia na HAKI za binadamu mapema kabla hatujawaamini kuwapa DOLA!!
Kwani hii katiba iliopa inapinga ushoga?
 
Wewe ndio haujui uchumi, duniani kote matajiri wanabanwa kidiplomasia maana wameshikilia uchumi mfano umeona Amazon imeyumba kidogo tu imepunguza wafanyakazi almost elfu 20!! Sasa mtu kama MO kaajiri watu wangapi? Ukimteka unategemea hao waajiriwa wataenda wapi? Manji ukimfilisi waajiriwa wataenda wapi?

So sio Kila kitu kushabikia tu kisa mtu kanyooshwa ila angalia impact kiuchumi, no wonder ACACIA aliwavimbia ila baadae ikabidi awaruhusu tu waendelee kuchimba bila kulipa deni la Kodi maana angesema akate kamba na wao wangemwaga mboga hasara yake ingekua zaidi ya hizo Kodi.

So Kuna wakati unatumia akili kuliko nguvu, si umeona Samia mpaka TRA wamevunja rekodi lakini hatujasikia watu wametishiwa bunduki au mabomu!!
Akili yako kubwa huyu anae mshabikia Magufuli kuwa pokonya matajiri hala zao akili yake imekufa kama alivio kufa magu
 
Kwani kipindi Cha JPM data hazikua cooked? Wakati wapinzani tunasema data za GDP na Makusanyo zimepikwa mlisema tunatumika na mabeberu.

Kingine deni likiwa kubwa linakuwa restructured yaani kama billion 10 na Mwaka mmoja umebaki unaextend miaka 5 Ili ulipe 2 B pekee kila mwaka na unalipa kidogo zaidi kwa muda mrefu. Btw Hata Mama Samia Bado analipa deni la Mkapa na JK meaning anayekuja atalipa madeni ya JPM and so on.

I'm against mikopo thou
Tra wamevuka kiwango au la?
 
Hakupora mkuu, Nyerere alitaka umiliki sawa wa mapato, haiwezekani wengine wawe matajiri sana, halafu wengine masikini.

Ndiposa akaitisha azimio la arusha, na kutaifisha viwanda, majumba, na fedha za mabepari,
Akili zako zimejaa funza tena wachooni
 
JPM alipokuwa anasisitiza kupunguza utegemezi wa mikopo kwajili ya maendeleo ya nchi, Chadema walipinga sana na kusisitiza kuwa lazima tukope.

Leo mama anakopa hadi ela ya kununua chumvi mnaona hiyo haifai, sasa mmesimama kumshangilia Ruto anapoongea kauli ileile aliyoongea JPM.

Tupeni msimamo wa chadema kuhusu kukopa maana siku hazigandi maybe baadae mnawezakamata nchi je mtafanya nini katika agenda ya ukopaji?
View attachment 2471740
Ukoo wenu una msimamo gani? Kwa hio huu nchi ni CDM? hivi post kama hizi huwa zinaruhusiwa vipi?
 
Back
Top Bottom