Recent content by faemba

  1. faemba

    ACACIA waweka ushahidi hadharani kwa kampuni yao kusajiliwa nchini

    hahahaaaaaa hapa kweli kwa mchezo huu tunapigwa kijinga na hawa ccm wala hakuna mwingine wa kumlaumu
  2. faemba

    Tetesi: Hatimaye "Chato International Airport" kuzinduliwa rasmi mwezi Aprili

    hahahaaaahaaaaaaaaaaaa hii kweli ni hatari kibwa sana maana watu wanafanya vitu bila kiangalia kesho itakuaje
  3. faemba

    Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

    jamani hivi hii tanzania tunaelekea wapi? maana kilasiku vitu vya kijinga haviishi yaani mtu unakamatwa bila kosa?
  4. faemba

    Kinachofanya ajira mpya za serikali zisitolewe ni hiki

    Eti nchi ya viwanda hahahahaaaa bora mseme nchi ya mazombie
  5. faemba

    Manchester city yasherekea ushirikiano wakimataifa na tecno mobile

    mie mwenyewe natumia tecno phantom 6+ aisee ni bonge la simu yaani hata hayo mabomu yenu ya kulipuka ya samsung sina hata muda nayo maana naona kama matakataka kwa sasa maana nimetumia hayo masimu yenu na kwa sasa nimebadili mfumo
  6. faemba

    Haki Za Binadamu Wamgeukia RC Makonda

    makonda anachokifanya sijui anamatatuzo gani kichwani? hakika imeniuma sana
  7. faemba

    CHADEMA, Profesa Safari yuko wapi?

    kweli nyie vijana wa lumumba ni vilaza wa kiwango cha lami
  8. faemba

    CHADEMA, Profesa Safari yuko wapi?

    nenda kwake ukamtafute
  9. faemba

    African Satellite World and Sat Gear

    ok thanks lets try
  10. faemba

    Elimu ya bure kuhusu Azam TV

    kama umebalance dish vizuri ingiza 12016 v 29950 12054 v 29950 hapo pia utapata Chanel kama 34
  11. faemba

    Elimu ya bure kuhusu Azam TV

    anzeni maandalizi ya mawindo mapya maana continental wanaondoka sasa
Back
Top Bottom