Recent content by fadhiliq87

  1. F

    Pamoja na kujichanganya ili kuficha udhaifu, Lowassa aumbuka juu ya uwezo wa kufanya kampeni

    mleta mada unachotakiwa kuelewa ni kwamba ccm imechokwa na sio vinginevyo..!
  2. F

    Tukikosea 2015 tutajuta milele! Nchi itazama

    ni bora iwe hivyo kuliko kuiacha ccm iendelee kunyanyasa raia,,kihalali au hata kiharam ccm iondoke... tumejuta miaka 54 uje ututishie miaka 5?..?
  3. F

    CHADEMA inarudia kosa walilolifanya CUF chaguzi zilizopita

    mkutano umefanyika Arusha kesho yake Mwanza hayo mabasi yamesafiri saa ngapi kutoka Arusha na kuwahi mkutano ulofanyika Mwanza mchana?..?...uongo mwingne jipange kwanza..!
  4. F

    Magufuli usikubali kupiga ngoma tena

    Kipawa kinaonekana baada ya kupachikwa kwenye uwania urais?..? acha aambiwe..!
  5. F

    Zinduka: Siasa inanunua watu, Polepole naye kanunuliwa

    NJAA mbaya sana, inafikia hatua mtu mzima anakosa kufikir kwa kutumia hata akili za kuazima.. Polepole umejiaibisha sana,,
  6. F

    Siku naziona kama zinajirudia, How can you explain this?

    hata mimi huwa inanitokea,, ila cjui chanzo ni nn... na ni kwann
  7. F

    Arfi kuondoka CCM

    njaa ni kiboko... jamaa anahaha kutafta pa kuendeleza maisha... duh, hatar
  8. F

    Waziri Mkuu Pinda kasusa ofisi

    hata mm ningesusa,, inakuaje wazir mkuu wa serikal inayomaliza muda wake nakosa kuingia tano bora?..?..
  9. F

    Lembeli: Ukitaka kuona 'nyeti' za kuku subiri apulizwe na Upepo

    daah km ni ujinga huu wa kwako umekuzidi nguvu... tumia hata akili za kukopa basi
  10. F

    Mapokezi ya Wema tishio

    wp panya road?... mtusaidie watu wamekosa kazi
  11. F

    Ustaarabu wa Magufuli vs wa Slaa!

    hii nayo ni mada..... waTz kaz tunayo
  12. F

    Watuhumiwa watano wa tukio la Stakishari watiwa mbaroni

    picha za majambaz ziko wp?..hii km sio filam... anyway km kweli hongeren polis
  13. F

    Despite MTVMAMA2015 Awards, Kiba is still more talented than Chibu

    hizi stress zingine bhn daaah,, jamaa usingz umemkosa kaamua kukurupuka na uzi mchosho eva seen,,.... chibu kawakamata pabaya
  14. F

    Mauaji ya Polisi na raia Stakishari, Polisi fanyeni haya kuwapata wauaji

    damu ya Mwangosi,, pamoja na raia ambao wameuwawa kwa mkono wa polisi itaendelea kuwatengeneza polisi....
Back
Top Bottom