Waziri Mkuu Pinda kasusa ofisi

Waziri Mkuu Pinda kasusa ofisi

Kuna mmoja ameenda kulalamika ethiopia kwenye vikao vya kijaji anamsumulia rafiki yake wa nchi jirani na hapa nanukuu ''Yule kijana (kiongozi no 1) ametufanyia uhuni sana sina hamu natamani hata kuhama chama''

Jaji Augustino Ramadhani, sivyo?
 
Hata hivyo hawakumtendea haki,yani waziri mkuu hamna imani nae, hii kamati ya maadili ya nape haikua na maadili,
 
Mim naona Apigwe tu maana hakuna namna sasa... Eeeeh ndio kama .tu tunamueleza haelew tunamuomba rid ofcn haya anajiona yy mwamba mm nasema Apgwe tu
 
Nimedokezwa pia mzee six a.k.a mzee wa viwango ajatimba ofcni toka alivyo angupia pua
 
Hvi ameshazinduka tangu alivyokatwa? Maana yeye pekee ndo alizimia kabisa.

Wamekatwa.jpeg
 
pinda alilia cku ile alivyokatwa kwnye kamati ya maadili huku akikumbuka kwamba ameshauriwa Mara ngapi agombee urais lakini anakatwa kwenye kamati ya maadili tafsiri ikiwa hana maadili? waziri Mkuu miaka nane hana maadili? na bilal kmya
 
Mara baada ya mkutano mkuu wa ccm uliofanyika dodoma, waziri mkuu hayupo ofisini, kuna tetesi toka kwa watendaji wa ofisi ya waziri mkuu wakidai kuwa mh. Pinda amesusa ofisi kutokana na kukatwa jina lake katika harakati za kugombea kuteuliwa kuwa mgombea wa ccm.

Hivi Aliyesusa Ofisi Anaweza Pia Kwenda Kumpokea Bosi Na Rais Wake JNIA Tena Huku Akiwa Na Furaha Na Bashasha Zote? Utanijibu Kesho Saa 1 Asubuhi Nitakapoamka Kwani Sasa Nalala Zangu Na Alamsiki Wewe Na Wengineo Na Mlioko Ulaya Sasa Mpo Macho Ulingo Sasa Ni Wenu. Pamoja Sana!
 
Mbona wengi wamesusa! Bilal, Sumaye, Sita na listi inaingezeka...

Nasikia mkulu kasema wacha wasuse tuu, ikibidi hii miezi miwili iliyobaki nafasi ya Bilal anaweza kukaimu mama S na ya Pinda atakaimu Riz kimtindo maana katiba haimruhusu
 
Wasaidizi wawili wa karibu wa Kikwete, Waziri Mkuu na Makamu wa Raisi walijitokeza kuwania kuchukua nafasi ya bosi wao, lakini wote walikatwa kwa sababu walionekana kuwa hawana maadili.

Jambo hili linashangaza sana, kwamba waziri mkuu amedumu katika nafasi hiyo kwa muda wa miaka 8 na makamu wa raisi amedumu kwenye nasafi hiyo kwa miaka mitano, kumbe kipindi chote hicho taifa limekuwa likiongozwa na watu wasiokuwa na maadili, licha ya kuwa raisi kwa kipindi cha jumla ya zaidi ya miaka 3 amekuwa hayupo nchini na nchi imekuwa chini ya uongozi wa hao wasaidizi wake. Leo anawachijia baharini, kisa hawana maadili.

Leo hii unataka waziri mkuu asiyekuwa na maadili aingie ofisini kufanya nini?

Hali hii ni udhibitisho na uhakika kuwa kwa kipindi cha miaka 10 taifa la Tanzania limeongozwa na watu wasiokuwa na maadili.


 
hata mm ningesusa,, inakuaje wazir mkuu wa serikal inayomaliza muda wake nakosa kuingia tano bora?..?..
 
Back
Top Bottom