kengele maziwa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2015
- 435
- 650
mwambie mamvi akapige nae
pombe jazzband ndiyo itatumbuiza lowassa akiapishwa mcheza show akiwa kinana na nape jitaa jk
Arincherema,arincherema
Una uhakika kaanza kupiga ngoma baada ya uteuzi? Ndugu fuatilia siasa siyo kuja huku na kupiga porojo zako
Sikubaliani kabisa na maoni hayo. Mtu kama ana vipawa vingi, kwa nini asivitumie tu. Mtu kama ana starehe mbalimbali anazozipenda, kwa nini asizifanya wakati ambapo haiingilii shughuli zake nyingine. Kwa nini ni lazima awe mtu wa upande mmoja tu. Ni vizuri kama akiwa well rounded person. Hiyo itamfanya aelewe zaidi shughuli mbalimbali za wananchi wake. Kutokutilia maanani mambo hayo ndiko kulikopelekea waziri fulani kufuta michezo mashuleni.
Lazima Watanzania tuangalia nyanja mbalimbali za maisha ya mtu na siyo kuwaweka watu katika maboksi madogo. Je, unafahamu kwamba viongozi wengi duniani huwa wanajishughulisha na sanaa fulani fulani kila mara.
Yuko na gwiji la usanii JK lazima apige ngoma kufumisha usanii
mwisho wa ngoma ni 25october!!
Mkuu umesahau ktk ule uzinduzi wa barabara za jimbo la Ubungo,mdee na mnyika walikuwa wanacheza gitaa au??? Wenyewe ndio wa kwanza kuimba jembe...jembe...jembee.