Hii inawezekana kabisa,dili la kuuza Dowans limetiki,kakamata Billion 90,hata ingekuwa shetani angejiuzulu! Ukijumuisha na pesa za mauzo ya Dowans lazima anapesa kama akina Beckam,huku akijua mbwa wetu wote koko hana wasiwasi wa maisha tena!
Jamaaa anadai anaachia na ubunge sijui kama inawezekana kwa akina magamba,hapa kuna mchezo mchafu unapangwa kuwapoteza wadanganyika! Naamini hivi coz hii siyo kawaida kwa mtu kuachia ubunge tena akitoka chama cha magamba,hii haiwezekani!
Kwani CTI hii nayoijua si imesajiliwa kama shirikisho na sio kampuni sasa wana nguvu kisheria ya kufanya biashara zaidi ya ile iliyoainishwa kwenye Memo of Association yao,au na kuzalisha umeme ipo humo? Naomba nipate ufafanuzi tafadhari!
Kuwa mkweli mkuu haiwezekani ukasalimiana na mtu tu kisha akakuambia chukua number yangu bila sababu,labda kama kuna issue nyingine mliongea,otherwise acha kutudanganya hamna mtoto hapa!
Leo nilikuwa nasikiliza radio nikasikia msaidizi wa mkuu wa wilaya akisema kuwa wameunda timu ya vijana kufuatilia mabaki ya mabomu,halafu akasisitiza kuwa ana taarifa ya mabomu mawili kule kimara,sasa kama anafahamu kwa nini wasiende kuyachukua? Just imagine bomu lipo nyumbani kwako kwa miezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.