Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Serikali inakalibisha wawekezaji
Sasa nyie mnataka kuwafukuza wawekezaji na watalii???
Sasa nyie mnataka kuwafukuza wawekezaji na watalii???
tofautisha wawekezaji na wezi wanaosaidiwa na wazawa...mfano RITE sio wawekezaji ni vibaka tuSerikali inakalibisha wawekezaji
Sasa nyie mnataka kuwafukuza wawekezaji na watalii???
Mh Mbowe amesema dunia inashangaa Tanzania ni nchi ya ajabu ambayo watu hawajui kuhoji mashirika yao yanavyofilisiwa na watu wachache. ametolea mfano kukodishwa kwa uwanja wa ndege wa Kilimanjaro(KIA) kwa Dola za kimarekani 1000 kwa mwaka.
Nawasilisha
Mh Mbowe amesema dunia inashangaa Tanzania ni nchi ya ajabu ambayo watu hawajui kuhoji mashirika yao yanavyofilisiwa na watu wachache. ametolea mfano kukodishwa kwa uwanja wa ndege wa Kilimanjaro(KIA) kwa Dola za kimarekani 1000 kwa mwaka.
Nawasilisha
Mh Mbowe amesema dunia inashangaa Tanzania ni nchi ya ajabu ambayo watu hawajui kuhoji mashirika yao yanavyofilisiwa na watu wachache. ametolea mfano kukodishwa kwa uwanja wa ndege wa Kilimanjaro(KIA) kwa Dola za kimarekani 1000 kwa mwaka.
Nawasilisha
Nchi hii sijui nani alituloga?
Mkuu haka kakibanda ninakoishi nalipa dola 1500 kwa mwaka sasa ukiniambia KIA ni $ 1000 lazima nipate kizunguzungu na kushangaaMleta mada unajua dola 1000 ni shilingi ngapi za Tanzania? Au unapima kiwango cha akili za wachangia hapa JF! Naona umewapata sana wazee wa kukurupuka!
Mh Mbowe amesema dunia inashangaa Tanzania ni nchi ya ajabu ambayo watu hawajui kuhoji mashirika yao yanavyofilisiwa na watu wachache. ametolea mfano kukodishwa kwa uwanja wa ndege wa Kilimanjaro(KIA) kwa Dola za kimarekani 1000 kwa mwaka.
Nawasilisha
Mkuu unaulizia jeshi lipi? usikute ni hili lililochakachuliwa!!Tunamhitaji Jerry Rawlings wa kitanzania. Jeshi mko wapi mrudishe heshima? Ondoeni hawa majitu, itakuwa lesser evil
<br />kumbe huu ugonjwa wa kushangaa unaambukiza??<br />
pinda alishangaa<br />
JK akashangaa<br />
sasa Mbowe anashangaa<br />
basi na mimi nashangaa
Mh Mbowe amesema dunia inashangaa Tanzania ni nchi ya ajabu ambayo watu hawajui kuhoji mashirika yao yanavyofilisiwa na watu wachache. ametolea mfano kukodishwa kwa uwanja wa ndege wa Kilimanjaro(KIA) kwa Dola za kimarekani 1000 kwa mwaka.
Nawasilisha
Mleta mada unajua dola 1000 ni shilingi ngapi za Tanzania? Au unapima kiwango cha akili za wachangia hapa JF! Naona umewapata sana wazee wa kukurupuka!