KILA MTU NA IMANI YAKE, MIMI NAAMINI KATIKA KRISTO YESU KUPITIA MSALABA ALITUKOMBOA. HAKUWA NA DHAMBI ILA ALITUNDIKWA MSALABANI. ALIPOKUWA MSALABANI KUNA JAMBAZI MMOJA ALITUBU NA NDANI YA DAKIKA MOJA ALISAMEHEWA DHAMBI ZAKE. HATA HUYO NYERERE ALIKUWA MKIRISTO ANAE AMINI KRISTO YESU. KUMBUKA...
Umesema vizuri kaka kwamba "Mungu akukemee"! usimlaani mtu wala kumtakia mabaya mbaya wako. Imeandikwa watakieni mema adui zenu na kuwaombea. unaweza ona huyo kijana na Mabina wamekufa vibaya kumbe wametubu na Bwana amewasamehe na kuwapokea. Mwisho jamani enyi wenye nguvu kwa nini hamjifunzi...
Wengi wao wanalinga sana, kiburi kimewajaa, ila kumbukeni Shetani kwa uzuri wake alipata kiburi akashushwa chini. Hivyo wanawake wengi na hasa wazuri kwa nje hujaa kiburi na hushushwa chini kwa kupewa mimba na kuachwa.
Mtumishi wa MUNGU Baba ubarikiwe sana, tuna neema nyingi sana katika ulimwengu wa roho bado hatujaziomba haya sasa kazi kwetu. Endelea kutufundisha neno la MUNGU zaidi na zaidi.
Usipolindwa na Mungu, hata ulindwe na nani haitawezekana!!! Kuna rais anaelindwa kuliko mtu yeyote duniani kuliko rais wa USA? Lakini miaka ya sitini mwanzoni aliuawa. Dr Slaa anaamini ulinzi wa Mungu, nasi tunamwomba Mungu Baba akutumie Malaika walinzi wanne wawe nawe siku zote za maisha yako...
umesema vema ndugu, huyo mpige Injili na kumwombea tena maombi ya kuatamia. Mungu ni mwema atamfungua ktk hivyo vifungo vya mwovu vya pombe. Kumwacha hiyo sio tiba nzuri kabisa na kamwe isitumike. Imeandikwa ''ndoa na iheshimiwe na watu wote'', pia imeandikwa ''alilo liunganisha Mungu mwanadamu...
Kweli dada kabla mtu hajawa mke/mume inabidi muwe marafiki kwanza, kisha uchumba na hatimae ndoa. Mkishibana zaidi na kila mmoja kuona mwenzake anamfaa kuwa nae siku zote ndio mnaingia step ya UCHUMBA, ikikomaa na kupevuka mnakuwa wa MAISHA yaani ndoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.